Mlimazunzu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2010
- 415
- 52
Wapendwa wangu wote
samahani sana na ninashukuru kwa
michango yenu wote na washukuru wote walioniambia
Chocho nimtangulize Mungu.. kwa ninachopitia sintoweza kabis
kuvire kebisha kwani kazi ya Mungu haina makosa... asanteni
wapendwa Mungu awaongezeee... Kweli kuna kupanda na kushuka
katika maisha.... mbarikiwe..
Dada pole sana Muombe mungu akusaidie