Aisee kuna hawa waruguru wa Morogoro aisee, wana culture flani ya kigodoro inaleta umaskini kwenye kaya zao halafu wala hata hawashituki walikua wanashangaza sana.
Of course ni culture ya kishenzi sana kwenye jamii, no future, poorer families, poor social economy,
High rate of HIV, poor and sometimes absence of social particularly family control in most cases.
Wanachojua wao ni ngono tu na pombe vijana kucheza pool na mpira elimu ziro kabisa waha jamaa wao na culture yao ya kigodoro ni bure kabisa