Ni Mchezaji gani wa Taifa Stars alikuvutia kwenye mchezo wao na Algeria jana?

Soloma TV Online

Senior Member
Jun 26, 2023
104
291
Jana tumeshuhudia mchezo wa kiume kweli kweli kati ya Taifa Stars na wenyeji Algeria. Wachezaji wa Taifa Stars jana wameipigania Bendera ya nchi yao kweli kweli, pamoja na Algeria kusheheni mastaa lakini Taifa Stars walilipambania lengo lao mpaka filimbi ya mwisho ya Refa.

Kwa mtazamo wako, ni mchezaji gani jicho lako halikutoka kwake na muda wote alikuwa akiwa na mpira ulikuwa unatabasamu?

c1d3d12c1ee9468ba4cb8e0f372fac19_375215242_822228579903017_371647166445172103_n.jpg


#solomatv_updates
 

Attachments

  • c1d3d12c1ee9468ba4cb8e0f372fac19_375215242_822228579903017_371647166445172103_n.jpg
    c1d3d12c1ee9468ba4cb8e0f372fac19_375215242_822228579903017_371647166445172103_n.jpg
    90 KB · Views: 5
Jana tumeshuhudia mchezo wa kiume kweli kweli kati ya Taifa Stars na wenyeji Algeria. Wachezaji wa Taifa Stars jana wameipigania Bendera ya nchi yao kweli kweli, pamoja na Algeria kusheheni mastaa lakini Taifa Stars walilipambania lengo lao mpaka filimbi ya mwisho ya Refa.

Kwa mtazamo wako, ni mchezaji gani jicho lako halikutoka kwake na muda wote alikuwa akiwa na mpira ulikuwa unatabasamu?

View attachment 2742922

#solomatv_updates
Kibu alitisha sana pale mbele
 
Back
Top Bottom