Soloma TV Online
Senior Member
- Jun 26, 2023
- 104
- 291
Jana tumeshuhudia mchezo wa kiume kweli kweli kati ya Taifa Stars na wenyeji Algeria. Wachezaji wa Taifa Stars jana wameipigania Bendera ya nchi yao kweli kweli, pamoja na Algeria kusheheni mastaa lakini Taifa Stars walilipambania lengo lao mpaka filimbi ya mwisho ya Refa.
Kwa mtazamo wako, ni mchezaji gani jicho lako halikutoka kwake na muda wote alikuwa akiwa na mpira ulikuwa unatabasamu?
#solomatv_updates
Kwa mtazamo wako, ni mchezaji gani jicho lako halikutoka kwake na muda wote alikuwa akiwa na mpira ulikuwa unatabasamu?
#solomatv_updates