MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,299
Wadau nawasabahi. Tuwe wakweli nani anastahili kusifi kwa Mchezo wa Taifa Stars na Algeri?
Mimi nawasifia ALGERIA licha ya kucheza Mpira Mkubwa kwa kiwango hicho huruma na upendo wao kwa TAIFA STARS vilichangia kutufichia aibu kwa kuamua kutubeba hadhatani.
Sifa za Pekee ziwaendee Wachezaji wa Algeria kwa uamuzi wao leo dunia yote imejua tumefuzu.
Mimi nawasifia ALGERIA licha ya kucheza Mpira Mkubwa kwa kiwango hicho huruma na upendo wao kwa TAIFA STARS vilichangia kutufichia aibu kwa kuamua kutubeba hadhatani.
Sifa za Pekee ziwaendee Wachezaji wa Algeria kwa uamuzi wao leo dunia yote imejua tumefuzu.