Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,117
- 3,040
Mm ni mkristo ila hili haliko sawa karne ya 20. Nyerere alianzisha hyo principle ili kutoa kelele kelele maana taifa lilkkua bado changa.
Ila kwa sasa Tunaitaji Rais smart, mzalendo mwenye maono na msimamo haijalishi katoka dini gani.
Kama Nani mfano