Averos
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 993
- 695
Habari,
Leo nimekuwa katika tafakuri ya kuangalia ni privilege zipi tunazipata kama Raia wa Tanzania.
Hapa namaanisha katika nyanja zote za maisha Mtanzania anapata unafuu upi?
Nitoe mifano kidogo
Kwa mfano katika huduma za kijamii
- Mtanzania anapata unafuu gani katika huduma ya maji, ikilinganishwa na nchi nyengine ambazo wanalipiii huduma ya maji
-Mtanzania anapata unafuu upi katika umeme ikilinganishwa na nchi nyengine ambazo unalipia umeme ikizidi unit 200 katika matumizi yako lakini chini ya units 200 ni bure
-Mtanzania anapata unafuu upi katika huduma ya elimu ikilinganishwa na nchi nyengine ambazo mwanafunzi anapatiwa facilities zote za kielimu kama stationaries na chakula bure
-Mtanzania anapata unafuu upi katika huduma ya mawasiliano ikilinganishwa na nchi nyengine ambazo kupiga simu Ndani ya nchi ni bure
-Mtanzania anapata unafuu upi katika huduma ya usafiri ikilinganishwa na nchi nyengine ambazo nauli na mafuta ni bei nafuu Sana ingawa hawana bandari za kushusha mafuta
-Mtanzania anapata unafuu upi katika huduma ya ulinzi ikilinganishwa na nchi nyengine ambazo askari wanaotoa huduma ya usalama bure bila ya kudai rushwa kwa mteja
Katika uchumi,
Mfanyabiashara, mkulima, mwekezaji, mchimba madini, mwenye hospital, shule wanapata vipaumbele na msaada upi kama Raia ikilinganishwa na nchi nyengine zinazotuzunguka kuwa Raia kumekuwa na unafuu gani kwako katika maisha?
Naomba kuwasilisha
Leo nimekuwa katika tafakuri ya kuangalia ni privilege zipi tunazipata kama Raia wa Tanzania.
Hapa namaanisha katika nyanja zote za maisha Mtanzania anapata unafuu upi?
Nitoe mifano kidogo
Kwa mfano katika huduma za kijamii
- Mtanzania anapata unafuu gani katika huduma ya maji, ikilinganishwa na nchi nyengine ambazo wanalipiii huduma ya maji
-Mtanzania anapata unafuu upi katika umeme ikilinganishwa na nchi nyengine ambazo unalipia umeme ikizidi unit 200 katika matumizi yako lakini chini ya units 200 ni bure
-Mtanzania anapata unafuu upi katika huduma ya elimu ikilinganishwa na nchi nyengine ambazo mwanafunzi anapatiwa facilities zote za kielimu kama stationaries na chakula bure
-Mtanzania anapata unafuu upi katika huduma ya mawasiliano ikilinganishwa na nchi nyengine ambazo kupiga simu Ndani ya nchi ni bure
-Mtanzania anapata unafuu upi katika huduma ya usafiri ikilinganishwa na nchi nyengine ambazo nauli na mafuta ni bei nafuu Sana ingawa hawana bandari za kushusha mafuta
-Mtanzania anapata unafuu upi katika huduma ya ulinzi ikilinganishwa na nchi nyengine ambazo askari wanaotoa huduma ya usalama bure bila ya kudai rushwa kwa mteja
Katika uchumi,
Mfanyabiashara, mkulima, mwekezaji, mchimba madini, mwenye hospital, shule wanapata vipaumbele na msaada upi kama Raia ikilinganishwa na nchi nyengine zinazotuzunguka kuwa Raia kumekuwa na unafuu gani kwako katika maisha?
Naomba kuwasilisha