Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 6,750
- 14,491
Tuna huyu mama ambae clearly hana uwezo wa kuongoza nchi na upuuzi wa succession planning ya CCM iliyompa chance ya kufika alipo.
Like seriously nchi zima aina mbinu ya kumtoa huyu na mtoto wake kisa madaraka yake ya katiba tu.
Kwa Samia uhalisia ni kwamba; washauri wake, walinzi wake, mawaziri wake na yeyote aliye karibu yake lipo wazi.
Rais Samia yupo hapo kwa sababu ya katiba tu. Lazima hiyo katiba ina shida inayoweza kumpa huyu mtu kuongoza nchi.
Yaani huyu mama na mwanae ambae ana abuse nchi; yote hayo kwa sababu ya kuheshimu katiba tu.
Hizo ni akili za watu waliokariri taratibu za kuendesha nchi, badała ya kuelewa majukumu yao ya kuilinda nchi kwa katiba hiyo-hiyo.
Yaani huyu mama na mwanawe waachwe kuiharibu nchi kisa katiba tu.
Yaani huyu mama aruhusiwe kuharibu nchi kisa katiba tu?
Issue hapa ni weakness ya vyombo vyetu vya ulinzi; Samia hizo akili za kuharibu nchi hana.
Tuna entertain ujinga wake kwa sababu ya weakness ya vyombo vyetu vya ulinzi.
Samia is fucking the nation kwa sababu we have accepted to bend over.
Oh my God, Samia kama katuweza hatuna maana yoyote.
Like seriously nchi zima aina mbinu ya kumtoa huyu na mtoto wake kisa madaraka yake ya katiba tu.
Kwa Samia uhalisia ni kwamba; washauri wake, walinzi wake, mawaziri wake na yeyote aliye karibu yake lipo wazi.
Rais Samia yupo hapo kwa sababu ya katiba tu. Lazima hiyo katiba ina shida inayoweza kumpa huyu mtu kuongoza nchi.
Yaani huyu mama na mwanae ambae ana abuse nchi; yote hayo kwa sababu ya kuheshimu katiba tu.
Hizo ni akili za watu waliokariri taratibu za kuendesha nchi, badała ya kuelewa majukumu yao ya kuilinda nchi kwa katiba hiyo-hiyo.
Yaani huyu mama na mwanawe waachwe kuiharibu nchi kisa katiba tu.
Yaani huyu mama aruhusiwe kuharibu nchi kisa katiba tu?
Issue hapa ni weakness ya vyombo vyetu vya ulinzi; Samia hizo akili za kuharibu nchi hana.
Tuna entertain ujinga wake kwa sababu ya weakness ya vyombo vyetu vya ulinzi.
Samia is fucking the nation kwa sababu we have accepted to bend over.
Oh my God, Samia kama katuweza hatuna maana yoyote.