Naomba kuuliza namna ya kufanya malipo ya serikali kwa mtu ambaye ni wakala hasa kwa mitandao ya Vodacom M-Pesa, Tigopesa, Halotel, Airtel, ttcl nk, menu zake ni zipi na je kuna Kamisheni?
Kwa uzoefu wangu hakuna njia ya moja kwa moja kwa kutumia simu ya uwakala kufanya malipo hayo, hayo ufanyika kwa kutumia uwakala wa kibank(mashine) au machine ya selcom
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.