aikaruwa1983
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,398
- 1,504
Hey wana JF wasaka ajira kama mimi.
Nimekaa na kujiuliza toka nimemaliza chuo huu ni mwaka wa tatu nimekuwa nikiapply kazi kwa miaka yote hiyo lkn sijapata, pia nimejitahidi hata kutafuta mtaji nijiajiri lkn inakataa.
Sasa hivi nimekuwa naona matangazo ya kazi but nimekuwa mzito kuapply coz nafikiria je ni bora hela ya stamp niende gengeni kula au niendelee kuinufaisha Posta.
Naombeni ushauri hivi inatakiwa muda gani ufike ili mtu aache kutafuta kazi mm najua ukomo ni kupata kazi bt kazi hazipatikani, hebu tushauriane.
Nimekaa na kujiuliza toka nimemaliza chuo huu ni mwaka wa tatu nimekuwa nikiapply kazi kwa miaka yote hiyo lkn sijapata, pia nimejitahidi hata kutafuta mtaji nijiajiri lkn inakataa.
Sasa hivi nimekuwa naona matangazo ya kazi but nimekuwa mzito kuapply coz nafikiria je ni bora hela ya stamp niende gengeni kula au niendelee kuinufaisha Posta.
Naombeni ushauri hivi inatakiwa muda gani ufike ili mtu aache kutafuta kazi mm najua ukomo ni kupata kazi bt kazi hazipatikani, hebu tushauriane.