Ni lini tecno imeingia gsmarena?

Ni lini tecno imeingia gsmarena?

Wanaoichukia Tecno hawajui walifanyalo, wasamehewe tuu.
Walio wengi wananunuaga simu kwa kuangalia majina ya makampuni na sio properties. Na GSMArena huwa wanaangalia properties za simu husika ndipo wanaiweka kweny platform yao, hawaangaliagi ukubwa wa kampuni kamwee.
 
Ni kweli ni hii hapa Camon 11 pro
Screenshot_20190125-003425.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeongea kauli ya ki limbukeni sana...
we ndo mfano wa wale jamaa hata baiskeli hana ila anajifanya anaongelea magari ya ki german tu mara AUDI mara WRANGLER mara MUSSO mara TUAREG
Watumia tecno mnajifariji sana, so ikiingia huko inakusaidia nini wew, tecno ni simu ya wasiojitambua over !!
Najua ntawakera lakini ndiyo ukweli huo



Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tecno pia si ni simu.

Huku kwa watanzania Kati ya anayetumia model kubwa za tecno na anayetumia s20 au iphone wengi hawatonotice any difference sababu matumizi yao ni ya kawaida sana.
Ila kufuata mkumbo tu au fashion ya kuonekana na bland maarufu ya company fulani au ameamua kuwa shabiki wa iphone and nothing more.

Hapo sioni tatizo kutumia tecno sababu matumizi ni yaleyale hizo kejeli mara nyingi ni kutoka kwa masikini na wasiojielewa.
 
Back
Top Bottom