hili nalo neno!elimu form 2? Kwani kuna cheti cha form 2? Nakushauri uendelee na masomo kwanza,kwani ni ngumu sana kukupa matumaini kuwa ni lini nawe utapata kazi,angalau ungekuwa una angalau ngazi ya diploma,ningesema,omba mungu,ipo cku.
Viwanda vya umma vimekufa, wao walikuwa wanaajiri hata Std VII. Naomba nikupe moyo hiyo Form II yako si haba, iwekee nyama kwa kujiunga na kozi za NABE au VETA utatoka tuu.
kwa elimu hiyo wewe ni LASABA ndugu yanguNatafuta kazi ndg zangu kwa mwenye kazi yoyote aniunganishe au anipatie, elimu yangu form 2.