Jahman
JF-Expert Member
- Dec 25, 2011
- 469
- 193
we kwel haunazo,wakat mwingine ucdande kwa mbele utafanywa ka opereshen tokomeza,chama chako ni kwako vipofu wenzako,hapa naongelea Tanzania kwa mifano si vyama vyenu vya kupelekana ka misukule
Mbona povu linakutoka, tulia uogeshwe, katengeneze jeneza, tena sidhani kama utapata nafasi ya kutoa heshima za mwisho, utafuatilia live tbccm.