my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,402
Kondom ndio nini?
nikajua bado bikra [emoji2960]Sio kuwasha tu zinaumiza. So I prefer kufanya mapenzi na mwanaume mmoja tu nayemuamini.
Sijui nirudie mara ngapi kusema jamani wanawake wanachukia kondom kuliko kitu chochote hapa duniani..! Wenyewe wanakiri kabisa kwamba mapenzi na kondom hayana ladha na ukiona mwanamke anakuambia uvar kondom ujue kabisa anafanya na wewe mapenzi kupoteza muda tuu hana hisia zozote.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Itakuwa bikra zingine hizonikajua bado bikra [emoji2960]
Asante [emoji6]Wanawake mnavumilia mengi sana, poleni
[emoji2960][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Itakuwa bikra zingine hizo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huyo anayesema hivyo inawezekana anao umeme wa kutosha, kwahiyo anataka usivae soksi akugawie japo Unit kadhaa!
Natamani ningetunukiwa hiyo nafasiSio kuwasha tu zinaumiza. So I prefer kufanya mapenzi na mwanaume mmoja tu nayemuamini.
njooo pm tumalize mchezo.Sio kuwasha tu zinaumiza. So I prefer kufanya mapenzi na mwanaume mmoja tu nayemuamini.
KUDADADADEKI!!!Hivi watu wanavaa bado?
Nimeshangaa sana..hayo madude wanatumia ya nini?Hivi watu wanavaa bado?
njooo pm tumalize mchezo.
Natamani ningetunukiwa hiyo nafasi
Kwa kulazimishwa na si kwa kupenda