Nimekua nikiwaza mambo mbalimbali yaliyotokea, almost yote yameongelewa sana humu, nimekua nikijiuliza, watanzania tumekosea wapi? sipati jibu.
Wakati flani nilikua naongea na baba yangu (mzazi) ye akasema inawezekana ni kwa sababu tanzania hatukuanza na Mungu, i mean kwamba babu zetu badala ya kumtanguliza Mungu wao wakawa watu wa kutambikia mizimu tu.
Lakini mbona wengine wamebarikiwa ili hali hawakuanza na Mungu, Kwa nini Mungu aamue kuiadhibu Tanzania kwa kiwango kikubwa hivi?
Nikiwaza haya roho inaniuma sana, hivi hawa viongozi hawaoni kwamba wakiacha kijilimbikizia mali (ambazo watakufa na kuziacha) wanaweza kuifanya Tanzania nchi nzuri sana kuishi.
Mtanzania anaefanya kazi kama analipwa 1M, laki tatu zinarudi serikalini kama DIRECT TAX na hizo saba zilizobaki zinapigwa INDIRECT TAX kila ninaponunua kitu dukani, hata iwe maji ya kunywa pamoja na tozo mbalimbali
Kwa kifupi kwa kila mtanzania anayelipwa mshahara, anarudisha serikalini zaidi ya asilimia 50 ya kipato chake kama kodi na tozo mbalimbali, HIZI PESA ZINAFANYA KAZI GANI?
Mbali na kodi ambazo ni kubwa sana, tanzania ni nchi yenye resources nyingi sana, madini, bahari, ardhi, wanyama, gas nk hivi vitu vinatufaidishaje? haingii akilini kwamba miaka 50 ya uhuru Tanzania kuna mgao wa Umeme, TUMEKOSA UONGOZI KABISA!
Wamethubutu ni kweli, wamejaribu ni kweli, na wameweza ni kweli lakini hawako makini na si wabunifu, miaka 50 hakuna kitu cha maana pamoja na kwamba wananchi tunafunga mkanda kuchangia serikalini na tuko na resources nyingi sana
Wakati flani nilikua naongea na baba yangu (mzazi) ye akasema inawezekana ni kwa sababu tanzania hatukuanza na Mungu, i mean kwamba babu zetu badala ya kumtanguliza Mungu wao wakawa watu wa kutambikia mizimu tu.
Lakini mbona wengine wamebarikiwa ili hali hawakuanza na Mungu, Kwa nini Mungu aamue kuiadhibu Tanzania kwa kiwango kikubwa hivi?
Nikiwaza haya roho inaniuma sana, hivi hawa viongozi hawaoni kwamba wakiacha kijilimbikizia mali (ambazo watakufa na kuziacha) wanaweza kuifanya Tanzania nchi nzuri sana kuishi.
Mtanzania anaefanya kazi kama analipwa 1M, laki tatu zinarudi serikalini kama DIRECT TAX na hizo saba zilizobaki zinapigwa INDIRECT TAX kila ninaponunua kitu dukani, hata iwe maji ya kunywa pamoja na tozo mbalimbali
Kwa kifupi kwa kila mtanzania anayelipwa mshahara, anarudisha serikalini zaidi ya asilimia 50 ya kipato chake kama kodi na tozo mbalimbali, HIZI PESA ZINAFANYA KAZI GANI?
Mbali na kodi ambazo ni kubwa sana, tanzania ni nchi yenye resources nyingi sana, madini, bahari, ardhi, wanyama, gas nk hivi vitu vinatufaidishaje? haingii akilini kwamba miaka 50 ya uhuru Tanzania kuna mgao wa Umeme, TUMEKOSA UONGOZI KABISA!
Wamethubutu ni kweli, wamejaribu ni kweli, na wameweza ni kweli lakini hawako makini na si wabunifu, miaka 50 hakuna kitu cha maana pamoja na kwamba wananchi tunafunga mkanda kuchangia serikalini na tuko na resources nyingi sana