Ni kweli utamaduni huu upo??

Ni kweli utamaduni huu upo??

eti umeishia la ngapi vile?!! et chuo!!! may b vile vya ghorofa ya 3, unakuta jengo la bar en g.house imegeuzwa kuwa chuo.. ndo vinavyoproduce wa2 kama ww. et kanda ya ziwa na kanda ya kaskazin, inawezekana hata hajui kanda ya ziwa ina mikoa mingapi na kaskazin ni mingapi.
 
Nashukuru kunirahisishia kazi kuelewa wewe ni wa aina gani! Hicho chuo ulicho hitimu kinaitwaje? Mshinga ni moja kati ya watu walio kujibu na akaeleza hujielewi nasikitika pamoja na kusoma nilicho kiandika ukadhani nilimaanisha mjinga kweli hizo stori nazo naamini ulielewa vibaya, hiyo level yako hainifai kwa kweli duh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

mshinga jina lilivyo mahinya wewe mbona mgumu kuelewa ama nawe ni mhusika?,uzi unahusu tetesi then inasemekana kuna makabila hivi unaelewa mantiki ya kutumia maneno haya? Jukwaan huwa tunaelimishana na kujifunza acha kuwa shalow minded
 
Nashukuru kunirahisishia kazi kuelewa wewe ni wa aina gani! Hicho chuo ulicho hitimu kinaitwaje? Mshinga ni moja kati ya watu walio kujibu na akaeleza hujielewi nasikitika pamoja na kusoma nilicho kiandika ukadhani nilimaanisha mjinga kweli hizo stori nazo naamini ulielewa vibaya, hiyo level yako hainifai kwa kweli duh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

mshinga ni jina kama lilivyo mahinya wewe mbona mgumu kuelewa ama nawe ni mhusika?,uzi unahusu tetesi then inasemekana kuna makabila hivi unaelewa mantiki ya kutumia maneno haya? Jukwaan huwa tunaelimishana na kujifunza acha kuwa shalow minded
 
Sina uhakika na mila na desturi hizo ila kuna uhusiano wa jambo kama hilo, kuwa katika dini ya kiislamu endapo mume umauti utamfika ili hali uume ukiwa umesimama basi mke atawajibika kufanya tendo la ndoa na mumewe hadi uume huo utakapo sinyaa na logic hapo ni kuwa huenda kwa kufanya hivyo mbegu hizo huenda zikaacha kiumbe hai duniani hivyo ndivyo ninavyofahamu mimi.(Angalizo hii ni kwa wanandoa si kwa mtu yeyote).Nawasilisha.
sasa ukidanja akili inakua haifanyi kazi damu nayo haizunguki so how the hell can a.......be hard? na itatoaje mbegu nakati mtu kesha danja???
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom