Ni kweli Tanzania hatuna Air Force?

Status
Not open for further replies.

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Kwenye taarifa za gazeti la guardian uk zilizonokuu na kuchambua taarifa zilizovujja kupitia wikileaks wanasema Tanzania haina Air force .
...................Tanzania, which has no air force, bought the military air defence radar from BAE in 2001 for £28m.......................

Sourcehttp://www.guardian.co.uk/world/2010/dec/19/wikileaks-cables-tanzania-bae-fears?INTCMP=SRCH

  • Je ni kweli Tanzania hatuna airforce
  • Sifa za Airforce ni nini
  • Kama hatuna je ni muhimu tuwe nayo na kama tunayo umuhimu wake kulinganisha na force nyingine ni upi ?

Nawasilisha kwa Mjadala
 
Nimefuatilia kwa makini ishu ya rada ya bei 'poa' toka BAE, hoja moja imejitokeza pamoja na nchi kuwa highly poor plus the extensive foreign debt, Tanzania haina Air Force, so the radar procurement was particularly out of context!
 
Ina maana JESHI LA ANGA tunaloambiwa ni fix tu? Mbona wanajeshi wenyewe huwa wanajaribu vifaa vyao mara kadhaa?
 
air force inayo sema labda haijawaridhisha na kufikisha viwango vyao hao guardian uk
 
Air Force ipo kwa jina tu, hatuna ndege. Kuna sehem moja ktk net walizidisha chumvi kama sio kutukana kabisa, wakadai Tz kuna Air Force kibao aina ya Popobawa Force 1
 
Unajua inawezekana AIR FORCE yetu haina chembe ya kiwango! Inawezekana kabisa ikawa sawa na taifa linadai lina tu ya mpira kali lakini unapotembelea unakuta wanacheza mazoezi mpira wa karatasi!
 
tanzania hatuna air force. Tuna vi-ndege vichache vya training tena vya kichina na kingine tuliteka kwa waganda wakati wa vita vya nduli. kifupi hata jeshi letu liko outdated kulinganisha na majirani zetu hasa kenya,uganda na rwanda,:embarrassed:
 
Nadhani kwa mtazamo wangu kwenu ma Great Thinkers ni hivi tuna mambo mengi sana ambayo hayatulia na tunawanyooshea vidole kila siku wahusika lakini naombeni kama hamtajali hili la kuanza kulijadili jeshi letu humu jamvini na dhana walizonazo najiona kama tunajianika hadharani kwa maadui zetu hivyo kama hamtajali mwenye thread hii anaweza kuipotezea ni ombi lakini na maoni yangu tu
 
Nadhani kwa mtazamo wangu kwenu ma Great Thinkers ni hivi tuna mambo mengi sana ambayo hayatulia na tunawanyooshea vidole kila siku wahusika lakini naombeni kama hamtajali hili la kuanza kulijadili jeshi letu humu jamvini na dhana walizonazo najiona kama tunajianika hadharani kwa maadui zetu hivyo kama hamtajali mwenye thread hii anaweza kuipotezea ni ombi lakini na maoni yangu tu

Derimto cia fact book, nationmaster na web kibao wameweka strength yetu ya military hadharani hivyo wala sio siri na kwa kweli hamna siri kwani hata za kwao zipo. Na kuficha haiwezekani maana silaha ni wao wanatuuzia hivyo bora tuwambie ili wajirekebishe.
 
Nadhani kwa mtazamo wangu kwenu ma Great Thinkers ni hivi tuna mambo mengi sana ambayo hayatulia na tunawanyooshea vidole kila siku wahusika lakini naombeni kama hamtajali hili la kuanza kulijadili jeshi letu humu jamvini na dhana walizonazo najiona kama tunajianika hadharani kwa maadui zetu hivyo kama hamtajali mwenye thread hii anaweza kuipotezea ni ombi lakini na maoni yangu tu

umeongea vyema mkuu! si jambo la busara kuanza kujianika hadharani.
 
Derimto cia fact book, nationmaster na web kibao wameweka strength yetu ya military hadharani hivyo wala sio siri na kwa kweli hamna siri kwani hata za kwao zipo. Na kuficha haiwezekani maana silaha ni wao wanatuuzia hivyo bora tuwambie ili wajirekebishe.

Gatcha Broo!!!!!!
 
tanzania hatuna air force. Tuna vi-ndege vichache vya training tena vya kichina na kingine tuliteka kwa waganda wakati wa vita vya nduli. kifupi hata jeshi letu liko outdated kulinganisha na majirani zetu hasa kenya,uganda na rwanda,:embarrassed:
Nadhani kwa mtazamo wangu kwenu ma Great Thinkers ni hivi tuna mambo mengi sana ambayo hayatulia na tunawanyooshea vidole kila siku wahusika lakini naombeni kama hamtajali hili la kuanza kulijadili jeshi letu humu jamvini na dhana walizonazo najiona kama tunajianika hadharani kwa maadui zetu hivyo kama hamtajali mwenye thread hii anaweza kuipotezea ni ombi lakini na maoni yangu tu

Mkuu umeongea kweli lakini bila kungea mambo yanaweza kuwa from bad to worse. May be wahusika wakiona hivi kuna vitu vya msingi wanaweza kujiuliza kuliko kulala tu. Waingereza service ya Manowari na nndege zake kuwa garounded haikuwa siri tumeona BBC. Tuko karne nyingine Mkuu

Angalia hizi data za tanzania na nchi nyingine ziko wazi kwenye net
Military
Military branches: Tanzanian People's Defense Force or TPDF paramilitary Police Field Force Unit, Militia
Military manpower - availability:
males age 15-49: 8,104,226 (2000 est.)

Military manpower - fit for military service:
males age 15-49: 4,690,681 (2000 est.)

Military expenditures - dollar figure: $21 million (FY98/99)
Military expenditures - percent of GDP: 0.2% (FY98/99)

Je mtanzania kuhoji kuuliza ratio ya wanajeshi walioajiriwa na wale wenye afya ya kwenda vitani ni hatari au kukaa bila kuhoji ndio kulea donda ndugu ??????

Angalia profile ya tanzania ilivyochambuliwa zaidi Tanzania Information and Online Map - Map Town Ltd.
Sasa itakuwa ni unafiki kuogopa kujadilia uwezo na mapungufu yako ndani ya nchi wakati nje ya nchi watu wanayajua. Na tusisahau ni huu usiri usiri ndio wajanja wachache wanatumia kuleta helikopta za watali jeshini . Huu huu usiri usiri ndio wajanja wachache wanatumia kujinufaisha kwa mambo kama MEREMETA.

Yes kuna vitu vinatakuwa uwa siri daima na visijulikane lakini sio katika level tunayofanywa tuamini.
 
Jeshi la Wananchi wa Tanzania lipo imara kama chuma chapua!!Nakwa East and Central Tunaongoza kwakuwa na Jeshi Bora!!Na kwa kuwa na nyezo madhubuti Na nchi zote ambazo nijirani wanalitambua hilo!!Kuhusu ndege nawambia Tuna ndege zauhakika tena Namshukuru Rais Mstaafu B.W.Mkapa kwakufanya yote haya jeshini! Tuna ndege za ukweli New Brand!! I am keeping low profile!For National benefits!!
 
Jeshi la Wananchi wa Tanzania lipo imara kama chuma chapua!!Nakwa East and Central Tunaongoza kwakuwa na Jeshi Bora!!Na kwa kuwa na nyezo madhubuti Na nchi zote ambazo nijirani wanalitambua hilo!!Kuhusu ndege nawambia Tuna ndege zauhakika tena Namshukuru Rais Mstaafu B.W.Mkapa kwakufanya yote haya jeshini! Tuna ndege za ukweli New Brand!! I am keeping low profile!For National benefits!!

Wabongo kujidai tu hamna kitu...ndege tunapewa za msaada zikishakuwa outdated kwa hao uncle sam wetu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom