Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,516
- 17,396
Wadau wote heshima mbele...
naomba sana msaada wenu maana nimefuatilia kwa makini sana nimeona hapana ni usanii mtupu.
Lengo la SACCOS zetu hizi ni kutuwezesha sisi WA KIPATO CHA CHINI tuweze kuweka kidogo chetu ..tupate mitaji midogo midogo ili tuweze kujikwamua....
Nimeeenda kwenye SACCOS 2 tofauti..ila ni wasanii wasanii kupitiliza.(MAKTABA NA SHIRIKISHO_JENGO LA WASHIRIKA).
loan Officers wao wote ni wapendwa rushwa kupita maelezo..hawakusaidii hata kidogo kama hutoi rushwa kwa hela yako ulioiweka na utakayoilipa kwa riba....
Pia ni wasumbufu sana ..pesa yangu imekaa kama miezi 6 sasa mkopo mdogo sana wa 10m wananisumbua hadi nimeamua kuachana nao....nimetafakari sana nikaona niilete kwa wadau wanisaidie kuniambia ipi ni SACCOS ambayo ni ukweli ????haina ubabaishaji na ina lengo sawa na kuanzishwa kwake?
nawakilisha.
naomba sana msaada wenu maana nimefuatilia kwa makini sana nimeona hapana ni usanii mtupu.
Lengo la SACCOS zetu hizi ni kutuwezesha sisi WA KIPATO CHA CHINI tuweze kuweka kidogo chetu ..tupate mitaji midogo midogo ili tuweze kujikwamua....
Nimeeenda kwenye SACCOS 2 tofauti..ila ni wasanii wasanii kupitiliza.(MAKTABA NA SHIRIKISHO_JENGO LA WASHIRIKA).
loan Officers wao wote ni wapendwa rushwa kupita maelezo..hawakusaidii hata kidogo kama hutoi rushwa kwa hela yako ulioiweka na utakayoilipa kwa riba....
Pia ni wasumbufu sana ..pesa yangu imekaa kama miezi 6 sasa mkopo mdogo sana wa 10m wananisumbua hadi nimeamua kuachana nao....nimetafakari sana nikaona niilete kwa wadau wanisaidie kuniambia ipi ni SACCOS ambayo ni ukweli ????haina ubabaishaji na ina lengo sawa na kuanzishwa kwake?
nawakilisha.