Ni kweli Rais Kikwete hapigiwi Mizinga Zanzibar?

Ni kweli Rais Kikwete hapigiwi Mizinga Zanzibar?

Wimana

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
2,449
Reaction score
718
Juzi, Tundu Lisu akichangia ktk Bunge la Katiba alitoa madai mazito kuwa kwa Katiba ya sasa ya Zanzibar, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, hapigiwi mizinga 21 kama Itifaki inavyopasa kwa Amiri Jeshi Mkuu. Kwa bahati mbaya hakuna taarifa kinzani iliyojibu tuhuma hizo na badala yake mipasho ikaendelezwa badala ya kujibu hoja hiyo ambayo ni nzito.

Nilitatajia Makamu wa Kwanza wa Rais wa SMZ, au hata wajumbe wengine wa CCM wangeomba mwongozo au kulitoa taarifa suala hilo. Vyombo vya habari navyo, havikuona uzito wa hoja hiyo ambayo, kama ni kweli basi huo ni ukiukwaji mkubwa sana wa Katiba ya JMT.

Humu JF kuna wadau wengi kutoka Zanzibar kama vile Mwiba, zenjiboy, Kichuguu, na labda hata Mawaziri wa SMZ chini ya IDs za siri.

Naomba kuelewa wadau, haya madai ni ya kweli?
 
Last edited by a moderator:
huitaji kuwa mzanzibar au zanzibar kulijua hili, sherehe za mapinduzi hurushwa live tbc na itv muda mwingine.

Sio tu kutopigiwa mizinga ila hutakiwa kuwahi kuingia uwanjani ili ampokee mgeni rasmi rais wa znz ambaye ndio mkuu wa nchi hiyo.
 
Huhitaji kutafiti suala lililo wazi kabisa wewe mdau.utafiti hufanywa kuibua matatizo yaliyojificha na kuyatatua!ndoyo maana hukuona mwongozo!
 
hata sherehe za juzi za karume day pale kisiwandui. alianza shein kuweka shada ndio akafuata kikwete.
 
Yani hata hiyo salute anapigiwa kwa shida sana, sembuse mizinga. Katiba ya Zanzibar inamtambua Dr. Shein kama amiri jeshi mkuu wao, JK ni ceremonial leader tu.
 
Ni kweli hapigiwi lakini hata hivyo licha ya Zanzibar kuwa nchi yenye mamlaka kamili, Rais wake hana tofauti na Rais wa TFF!!!
 
atapigiwaje mizinga wakati kuna amiri jeshi mkuu kule? labda apokelewe km raisi kutoka nchi nyingine itifaki itazingatiwa.
 
Rais wa Jamhuri kama amiri jeshi mkuu akiingia uwanjani anapokewa kwa heshima zote za utii na majeshi ya ulinzi na usalama,kwa wanaofuatilia,na wimbo wa taifa hupigwa! Hiyo ndio protocal.acheni kuargue vitu unless ur conversant with the protocal of the Commander in Chief!
 
Ni kweli hapigiwi lakini hata hivyo licha ya Zanzibar kuwa nchi yenye mamlaka kamili, Rais wake hana tofauti na Rais wa TFF!!!

Raisi wa TFF huwa anapigiwa mizinga 21?,rais wa TFF huwa anatembea na msafara wa mapikipiki ya polisi?


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Tukiwa na mambo yetu ya ndani Zanzibar ni nchi, Tukitoka kwenye anga za kimataifa inapoteza hali ya kuwa nchi maana ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Mheshimiwa Raisi atabaki kuwa Amiri Jeshi Mkuu pekee nchini.General Mwamunyange ana ripoti kwa Kiwkete na sio mwingine

Kupigiwa mizinga ni ceremonial tu ,kiutendaji Shein hana mamlaka yeyyte ya kijeshi.Tuache upotoshaji
 
Raisi wa TFF huwa anapigiwa mizinga 21?,rais wa TFF huwa anatembea na msafara wa mapikipiki ya polisi?


Sent from my iPhone using JamiiForums app

Tena mie naweza kusema Rais wa TFF yuko juu make hata akienda nchi ya Kigeni kimechezo na akajitambulisha kama rais wa TFF atapewa ushirikiano. Lakini Dr Shein akienda nchi ya kigeni hawezi kujitambulisha yeye ni Rais wa Zanzibar make anajua kabisa ataitiwa ambulance faster ili awaishwe hosptal ya Vichaa kupimwa akili!!!
 
Tena mie naweza kusema Rais wa TFF yuko juu make hata akienda nchi ya Kigeni kimechezo na akajitambulisha kama rais wa TFF atapewa ushirikiano. Lakini Dr Shein akienda nchi ya kigeni hawezi kujitambulisha yeye ni Rais wa Zanzibar make anajua kabisa ataitiwa ambulance faster ili awaishwe hosptal ya Vichaa kupimwa akili!!!

kama ni hivyo huko marekani,ulaya ,oman huwa anaenda kufanya nini? hiyo miradi ya maendeleo ya nchi wahisani inakuwaje inasainiwa huko huko znz?dunia inajua aina ya muungano tulionao. hivyo wote wanajua.
 
Mheshimiwa Raisi atabaki kuwa Amiri Jeshi Mkuu pekee nchini.General Mwamunyange ana ripoti kwa Kiwkete na sio mwingine

Kupigiwa mizinga ni ceremonial tu ,kiutendaji Shein hana mamlaka yeyyte ya kijeshi.Tuache upotoshaji

Leo yuko shein kesho akija wa chama kingine mwenye mamlaka hayo mafano seif?maana ndio mkuu wa vkundi vya ulinzi kama kmkm.
 
atapigiwaje mizinga wakati kuna amiri jeshi mkuu kule? labda apokelewe km raisi kutoka nchi nyingine itifaki itazingatiwa.

Mbaya zaidi! Huwa kuna ile mizinga 21 ambayo hupigiwa Rais yeyote anayetembelea Nchi jirani? Hajawahi pigiwa pia!! Ni kweli nimeamini maneno ya Mh Lisu anapanga foleni..
 
Rais wa Jamhuri kama amiri jeshi mkuu akiingia uwanjani anapokewa kwa heshima zote za utii na majeshi ya ulinzi na usalama,kwa wanaofuatilia,na wimbo wa taifa hupigwa! Hiyo ndio protocal.acheni kuargue vitu unless ur conversant with the protocal of the Commander in Chief!
Wewe unayejua protocal of the commandr in chief, uliangalia sherehe za mwaka huu? usitudanganye, tuliona kilichotokea Zanzibar bwana. Au hiyo mizinga iliyopigiwa kikwete ilikuwa ya konyagi?
 
kama ni hivyo huko marekani,ulaya ,oman huwa anaenda kufanya nini? hiyo miradi ya maendeleo ya nchi wahisani inakuwaje inasainiwa huko huko znz?dunia inajua aina ya muungano tulionao. hivyo wote wanajua.

Huwa hajitambulishi kama rais bali mjumbe wa Jk insu ambazo hata Membe au Pinda anaweza kusolve. Nyie Wazinzabar komaeni mtoke kwenye mikufu ya Magamba mukasajili nchi yenu UN, nyie katiba yenu inawatambua ni mamlaka kamili lakini mataifa ulimwenguni yanajua nyie ni Koloni la Tanganyika sababu hamjakamilisha taratibu za kuwa Taifa pale UN kwa kibano cha magamba yanachowapatia!!!
 
Back
Top Bottom