Ni kweli mkuu hakuahidi katiba mpya kwenye kampeni zake lakini aliomtangulia alituaminisha hilo.

gungu yetu

Senior Member
Dec 23, 2013
176
60
ni mwaka sasa tangu mtukufu raisi aingie madarakani lakini hatujui hatima ya katiba ya wananchi ya jaji warioba na si ya pendekezwa....tunaitaj katiba mpya mzee...
 
Back
Top Bottom