bablon6
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 629
- 565
Ni mpenzi wangu niliyekua naye tangu mwaka jana mwezi wa 12 ila baada ya kuchokana akaniacha huku nikiwa bado nampenda baada ya kuumia na kupona nikaamua kumove on. Yeye alidai namtesa kwasababu napenda sana kuchat na wanawake.
Akaamua kurudi kwa bwana wake wa zamani ambae alikua naye kitambo nakuwaambia dada zake hataki kusikia habari zangu.
Leo namba ngeni imeingia akisema "mkeo ana mimba jiandae kulea bila kutegemea".
Nimelala naye mwaka jana mwezi wa 12.
Nikaachana naye mwezi wa kwanza mwaka huu.
Leo anakuja kunambia ana mimba yangu.
Ni kweli yangu au ndo napewa mtoto wa nyongeza?
KONFUSE
Akaamua kurudi kwa bwana wake wa zamani ambae alikua naye kitambo nakuwaambia dada zake hataki kusikia habari zangu.
Leo namba ngeni imeingia akisema "mkeo ana mimba jiandae kulea bila kutegemea".
Nimelala naye mwaka jana mwezi wa 12.
Nikaachana naye mwezi wa kwanza mwaka huu.
Leo anakuja kunambia ana mimba yangu.
Ni kweli yangu au ndo napewa mtoto wa nyongeza?
KONFUSE