Ni kweli maji yanayotembea yanatakasa?

Sheffer95

Senior Member
Mar 16, 2020
197
460
Hizi ni Habari za muda mrefu nimekuwa nikisikia kwamba maji yoyote yale yawe ya bahari au mto unaotembea hutakasa mwili

Je wajuzi wa mambo kuna ukweli wowote katika hili?
 
Ni kwakuwa hayajatuama.. Maji yaliyotuama hubeba kila kitu cha kiroho na cha kimwili pia.. Lakini yatembeayo huwa na hulka ya kuweka pembeni vichafu vyothe
Kwahyo kiroho si vizuri kuoga kwenye swimming pool, vipi kwenye ile fani ya zamani ya ulozi je mtu hawezi roga maji yanayotembea yakaleta madhara mfano magonjwa ya milipuko, miwasho n.k
 
Kwahyo kiroho si vizuri kuoga kwenye swimming pool, vipi kwenye ile fani ya zamani ya ulozi je mtu hawezi roga maji yanayotembea yakaleta madhara mfano magonjwa ya milipuko, miwasho n.k
Hakuna maji machafu kama hayo ya swimming pool maana hayatembei yako yametuama tu... Mikojo, janaba, damu za hedhi, manii,nuksi, majasho, chembechembe za vinyesi, vikwapa na uchafu mwingine wote mnaugawana
Maji yaliyotuama mara zote ndio huleta magongwa ya mllipuko sio yanayotembea ama kutiririka
 
Ni kwakuwa hayajatuama.. Maji yaliyotuama hubeba kila kitu cha kiroho na cha kimwili pia.. Lakini yatembeayo huwa na hulka ya kuweka pembeni vichafu vyothe
Neno la mwisho kama la kiswahili hivi, lakini pia kama la kimbare 'chathu' hivi, ni ubunifu
 
Maji yanayotembea wanasema ni masafi kwa matumizi kuliko yaliyotuama.
Je?

20220215_184942.jpg


20220210_042641.jpg
 
Back
Top Bottom