Naweka rekodi sawa. Kilichotokea Ni kuwa TAZARA iliwauzia wafanyakazi wa tazara. Zoezi hili lilianza takriban miaka 10 iliyopita. Wafanyakazi wa tazara wakaanza kuziuza na watu tofauti walizinunua akiwemo oilcom. Ikaja kufahamika kuwa oilcom ananunua kwa bei nzuri. Hivyo wafanyakazi wengi wakaziuza kwake. Mfano nyumba ya chumba 1, jiko na choo Ni mil 45 kwa oilcom. Na ya vyumba 2 bei Ni mara mbili yake.
Magorofa hayo yameuzwa kwa sh 2 million kwa top mgt tena kwa kukatana kidogo kidogo sana, kila boss akapata lake.
Kilichofata ni kuyauza kwa oilcom kipamoja, shida hapa ni hati ambazo zipo zambia kwenye hazina kuu.
Ngoja tusubiri?
Kuna tetesi eti maghorofa yanayomilikiwa na shirika la reli la Tanzania na Zambia yameuzwa kwa Oil Com.Wafanyakazi waliokuwa wakiishi kwenye maghorofa haya wametakiwa kuhama kuwapisha watu wa Oil Com.Uuzaji huo umefanyika bila kuishirikisha nchi ya Zambia.Makabidhiano bado.Upande wa Zambia haujatoa hati.Mwenye taarifa atujuze.
Wakwapuzi washafanya yao chini ya carpet....Dah!!!! Mafisadi hawana huruma hata chembe kwa Watanzania.
tazara waliwauzia nyumba wafanyakazi na wafanyakazi wameziuza, tatizo liko wapi hapo? kama imefanyika kinyume na hivyo labda kunaweza kuwa na tatizo
hii itakuwa sio habari njema kwa wananchi hata kidogo,kama tazara walishindwa,tunayo mifuko na mashirika yangeyoweza kuzikarabati au kujenga upya lile eneo,sio oil com,wananchi wanahitaji maeneo pia ya kuishi lazima tunapofanya mahamuzi tufikirie maslahi ya wengi,oil com amtafute alompa hela zake amrudishie kama ni kweli,tuna nnsf,nhc tutawapa maeneo hayo wstujengee nyumba za bei rahisi za kisasa ntahakikisha rais anaporudi toka mapumzikon na kumteua mtu wa kwenda kuvaa viatu vilivyovuliwa na prof tibauijuka,rais aniteue mimi naapa baada ya uteuzi wangu ntarirudisha eneo hilo mikononi mwenu watanganyika.INAKATISHA TAMAA KUONA WAKUBWA MNYOMEGEANA KEKI HII (RASILIMALI ZA TAIFA) KWA FUJO
tazara waliwauzia nyumba wafanyakazi na wafanyakazi wameziuza, tatizo liko wapi hapo? kama imefanyika kinyume na hivyo labda kunaweza kuwa na tatizo