Ni kweli maghorofa ya TAZARA Chang'ombe vetenary yameuzwa?

HUYU OIL COM HUYU!!!
LAZIMA MSHARIKA WA FIRST FAMILY ATAKUWEPO!
SHORTLY
**********
YAREJESHWE HARAKA KWANI NI MALI ZA TAZARA.
PAMOJA NA ENEO LOTE NA MIPAKA YA ENEO LA TAZARA IKAGULIWE UPYA PIA KUWEKEWA ALAMA UPYA,KUNA WALIOJIKATIA KAENEO HAPO NA WANAJULIKANA BY 100%.
Maeneo mengine ya wazi yaliyokuwa reserved kwa siku za mbeleni nasikia nayo yameshachukuliwa na yamejengwa bandari kavu.
Kama kweli wewe ni mzalendo wa nchi hii ukiambiwa waliomilikishwa basi utapata shinikizo la damu na kufariki hapo hapo!
 
Maeneo mengine ya wazi yaliyokuwa reserved kwa siku za mbeleni nasikia nayo yameshachukuliwa na yamejengwa bandari kavu.
Kama kweli wewe ni mzalendo wa nchi hii ukiambiwa waliomilikishwa basi utapata shinikizo la damu na kufariki hapo hapo!
Lile eneo ni "Prime area" kwa kuwa lipo kando ya Port Acces Rd (Mandela rd) na si mbali na bandari
Pia yale magorofa ni majengo imara sana hukiwa between buildings kuna open space kubwa sana hivyo value yake ipo juu sana
 
Makampuni makubwa hiyo ndo kawaida yao,na kampuni haiwezi kuwa kubwa kama haiwezi kumeza makampuni mengine,kuingia ubia ama kujitanua,
 
Makampuni makubwa hiyo ndo kawaida yao,na kampuni haiwezi kuwa kubwa kama haiwezi kumeza makampuni mengine,kuingia ubia ama kujitanua,
Hakuna cha ukubwa wa kampuni hapo ni upigaji dili. Kilichotokea akina Riziwani waliona fursa wakaruhusu uuzaji wa nyumba kuzuga kuwa wanauziwa wafanyakazi halafu Oil Com anunue kwa wafanyakazi watanzania tubaki tumepigwa sarakasi. Rais wangu JPM haya ndio majipu halisi, wale wafanyakazi walio kwenye payroll ya serikali ndio wanaotumbuliwa lakini hawa mapapa naona wanadunda tu. Huyu huyu Oilcom tunamdai pesa nyingi za kukwepa ushuru wa mafuta
 
Makampuni makubwa hiyo ndo kawaida yao,na kampuni haiwezi kuwa kubwa kama haiwezi kumeza makampuni mengine,kuingia ubia ama kujitanua,
Ulichokiandika hapa sidhani kama ulirudia kukisoma maana usaha mtu bila aibu............chama cha mafisadi
 
kwao sio kashfa....kashfa kubwa ni richimondi ya mzee wa watu lowassa kizaz cha laana hiki......
 
kwao sio kashfa....kashfa kubwa ni richimondi ya mzee wa watu lowassa kizaz cha laana hiki......
Unajua watu hawajielewi tu
TAZARA ilikuwa the biggest project ya China nje ya nchi yao by then 1970-75
Hata zile Tunnels za Mlimba ilikuwa ni high tech zimejengwa kabla hata wazungu hawajajenga kwao UK to France
 
Ishu ya tazara kota.. waliokuwa wafanyakazi wa Tazara miaka ya nyuma shirika liliamua kuwa linawakata kwenye mishahara yao na baada ya mda wakawa wamiliki halali wa kota hizo.. kila mtu na loshen yake,, miaka ya ivi karibun oilcom aliweka mkakati wa kuwaamisha wamiliki wote.. na alianz ghorofa moja baada ya jingne mpaka sasa anaendlea kuwaamisha.. kila mtu alkua akilipwa milion 119.. kila ghorofa lina familia 9,, pale oilcom anataka kuunganisha kutoka kwny depo yao waliyoijenga pale sokoto mpk vietenary sheli lote liwe eneo lake
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom