Mtaji wa kura za rais au chama kijacho ni kurejesha nyumba za serikali

Inkoskaz

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
6,372
2,375
Sio Siri na ni doa kwa akina Maghufuli na Mwakyembe kuhusiana na nyumba za serikali zilizouzwa kiholela nchini kote

Ni uamuzi mbovu ambao haujawai kutokea!
nyumba za serikali huko prime areas kama Masaki na Oysterbay zimeuzwa kwa bei poa ya kutupwa ambayo ni chini hata ya bei ya viwanja vya serikali tena kwa mkopo ukikatwa kwenye mshahara taratibu!

Nyumba za mashirika makubwa tuliyorithi kama BANDARI, TRC na TAZARA ni blunder tupu,hebu jiulize unapomuuzia dereva wa treni nyumba anayoishi leo kesho akistaafu mkaajiri dereva mwingine atakaa wapi? au ndio akapange kimara achelewe kuja kazini kwa mifoleni yenu ya Dar? ama akifikisha treni salama usiku aanze kuhangaika na daladala kurudi bunju nk ahatarishe hata usalama wake?

Je ni halali kuuza majumba yaliyojengwa toka wakati wa mkoloni yakatengwa kwa mawaziri,spika,watendaji wakuu nk na leo ukiteua wapya una waweka hotelini ama kuwajengea maghorofa kama hostel?

Nyumba za serikali ni mali ya Watanzania woooote wakiwamo WATUMISHI WAUMMA,WAKULIMA,WAFANYABIADSHARA,MAJOBLESS nk na zimepatikana kwa kodi ama michango yao wote kwa namnaa moja ama nyingine iweje leo wafanyakazi wa serikali tuuu ndio wauziwe kwani wasio watumishi wa umma hawana haki hiyo?

Ni aibu kubwa na ndio maana hata Ikulu yetu itauzwa ili raisi ajaye nae ajenge nyingine

Kituko cha mwaka ni pale wanaposema mtu akiuzima nyumba ya serkali aiiuze ama kubadili matumizi ndani ya miaka 20-25..THUBUUUTU!! nani kasema?
Nyumba zote Obay na Masaki zimebomolewa na kujengwa Maapartment ambayo mtanzania hawezi kukodi ama kama ni hotel pia mtz wa kawaida ataishia kupita nje na kusoma mabango tu

Masaki na Obay sio tena maaneo ya Residential bali ni COMMERCIAL areas ndio maana hata watu wa Tanzania Parking System wapo huko wakitoza ada za Parking( Utamtozaje mtu parking fee nyumbani kwake?)
Tusijidanganyane, hii ni blunder tumejipaka matope usoni

Kule Tazara nyumba walizokuwa wakikaa askari wa TAZARA zimevunjwa na kuwekwa yadi ya CAM GAS!! huyo Fareed anaetajwa ni bosheni tu wanunuzi ni familia ya OIL COM
Hivi Tazara ni mali yenu pekee watanzania? basi mngeita TARA tutoe ZA maana hatuelewi..hivi leo Zambia wakiamua kuuza kipande cha reli kilichopo ndani ya ardhi ya nchi yao mtalalamika? mbona nyie mmeuza nyumba kwa laki tano tano? bei ya nyumba hata kodi ya nyumba kwa mwezi haitoshi!

na kwa nyinyi mliopewa( maana sio kuuziwa) mnaweza kujidai kweli kuwa mnamiliki nyumba Dar? wakati hata bei ya kiwanja cha huuko Chanika hamuwezi kukimudu

Kama ni UKAWA,kama ni LOWASSa kama ni yeyote ajae mtaji mkubwa ni kurudisha nyumba na kuwarejeshea visenti vyao walivyolipia hiyo mihekalu na kuigeuza mitaji

hainiingii akilini waziri mkuu akakae pugu wakti kuna makazi yake jirani na ofisi yake...hizo gharama za motorcade kila siku nani anazikipia? hebu wataalamu wa economics tuchambulieni COST ANALYSIS tuone imekaa vipi

tuache mambo ya aibu turejeesheni nyumba zetu baba zetu walizijenga kwa kodi zao

Big Up Machali,Halima Mdee, ngedere nk

******************TUNATAKA NYUMBA ZEETU************************
 
Ahsante bro hayo ndio tunayoyataka watanzania sio blah blah
 
Huo ndio uzalendo sio kukalia chuki kejeli wakati vipo vitu muhim vya kuzungumzia
 
Utamaliza lini kucheza mchezo wako huo Inkoskaz unaoonekana kwnye Avatar yako?
Mkuu ni mpaka nchi hii ikombolewe..Uongozi mpya...Katiba mpya ya ukweli sio hii ya Changa la macho
Baada ya hapo nitapumzika

Huo ndio uzalendo sio kukalia chuki kejeli wakati vipo vitu muhim vya kuzungumzia
MOTOCHINI tena sio kuongea tu bali na kufanya kwa vitendo!!

ukawa,tunataka kuona msimano mkali kuhusu mali ya umma.
Jaduong Gor bila kusimamia mali zetu sio serikali bali genge
 
ukawa,tunataka kuona msimano mkali kuhusu mali ya umma.
 
mtoa hoja umesema vema. lakini mgombea urais ili akubalike sharti aheshimu maoni ya wananchi kwenye rasimu ya warioba. nje ya hapo hakuna kura.
 
Sio Siri na ni doa kwa akina Maghufuli na Mwakyembe kuhusiana na nyumba za serikali zilizouzwa kiholela nchini kote

Ni uamuzi mbovu ambao haujawai kutokea!
nyumba za serikali huko prime areas kama Masaki na Oysterbay zimeuzwa kwa bei poa ya kutupwa ambayo ni chini hata ya bei ya viwanja vya serikali tena kwa mkopo ukikatwa kwenye mshahara taratibu!

Nyumba za mashirika makubwa tuliyorithi kama BANDARI, TRC na TAZARA ni blunder tupu,hebu jiulize unapomuuzia dereva wa treni nyumba anayoishi leo kesho akistaafu mkaajiri dereva mwingine atakaa wapi? au ndio akapange kimara achelewe kuja kazini kwa mifoleni yenu ya Dar? ama akifikisha treni salama usiku aanze kuhangaika na daladala kurudi bunju nk ahatarishe hata usalama wake?

Je ni halali kuuza majumba yaliyojengwa toka wakati wa mkoloni yakatengwa kwa mawaziri,spika,watendaji wakuu nk na leo ukiteua wapya una waweka hotelini ama kuwajengea maghorofa kama hostel?

Nyumba za serikali ni mali ya Watanzania woooote wakiwamo WATUMISHI WAUMMA,WAKULIMA,WAFANYABIADSHARA,MAJOBLESS nk na zimepatikana kwa kodi ama michango yao wote kwa namnaa moja ama nyingine iweje leo wafanyakazi wa serikali tuuu ndio wauziwe kwani wasio watumishi wa umma hawana haki hiyo?

Ni aibu kubwa na ndio maana hata Ikulu yetu itauzwa ili raisi ajaye nae ajenge nyingine

Kituko cha mwaka ni pale wanaposema mtu akiuzima nyumba ya serkali aiiuze ama kubadili matumizi ndani ya miaka 20-25..THUBUUUTU!! nani kasema?
Nyumba zote Obay na Masaki zimebomolewa na kujengwa Maapartment ambayo mtanzania hawezi kukodi ama kama ni hotel pia mtz wa kawaida ataishia kupita nje na kusoma mabango tu

Masaki na Obay sio tena maaneo ya Residential bali ni COMMERCIAL areas ndio maana hata watu wa Tanzania Parking System wapo huko wakitoza ada za Parking( Utamtozaje mtu parking fee nyumbani kwake?)
Tusijidanganyane, hii ni blunder tumejipaka matope usoni

Kule Tazara nyumba walizokuwa wakikaa askari wa TAZARA zimevunjwa na kuwekwa yadi ya CAM GAS!! huyo Fareed anaetajwa ni bosheni tu wanunuzi ni familia ya OIL COM
Hivi Tazara ni mali yenu pekee watanzania? basi mngeita TARA tutoe ZA maana hatuelewi..hivi leo Zambia wakiamua kuuza kipande cha reli kilichopo ndani ya ardhi ya nchi yao mtalalamika? mbona nyie mmeuza nyumba kwa laki tano tano? bei ya nyumba hata kodi ya nyumba kwa mwezi haitoshi!

na kwa nyinyi mliopewa( maana sio kuuziwa) mnaweza kujidai kweli kuwa mnamiliki nyumba Dar? wakati hata bei ya kiwanja cha huuko Chanika hamuwezi kukimudu

Kama ni UKAWA,kama ni LOWASSa kama ni yeyote ajae mtaji mkubwa ni kurudisha nyumba na kuwarejeshea visenti vyao walivyolipia hiyo mihekalu na kuigeuza mitaji

hainiingii akilini waziri mkuu akakae pugu wakti kuna makazi yake jirani na ofisi yake...hizo gharama za motorcade kila siku nani anazikipia? hebu wataalamu wa economics tuchambulieni COST ANALYSIS tuone imekaa vipi

tuache mambo ya aibu turejeesheni nyumba zetu baba zetu walizijenga kwa kodi zao

Big Up Machali,Halima Mdee, ngedere nk

******************TUNATAKA NYUMBA ZEETU************************




kuna mambo matano ya msingi
1, je Zinamsaidiaje masikini aliyeko kigoma linda na mtwara?

2, je zile ambazo wanakaa waidi na kuripa kodi ya nyanya na watanzania masikini hawana pa kukaa inatusaidia?

3, je kuriko kuchukua mamilioni ya walipa kodi kujenga nyumba mpya za watumishi na wakati serikari haitaki kuboresha hizo nyumba kwanini zisiuzwe?

4 je tujiulize zilikuwa zinaingiza shlg ngapi kama kodi na sasa baada ya kuziuza zimesaidia kutoa ajira kiasi gani kwa masikini watanzani?

5, je ziliuzwa kwa maamuzi ya waziri au baraza la mawaziri?

Lakini cha kujiuliza kama kuna makosa ni1/3 kati ya mazuri waliyoyafanya katika utumishi wao wa miak 15-20 kwa taifa hili,hata hao mnaowasema ni wachafu hat kabla hawajapata nafasi,(nani msasi 100%)
 
Sizani kama kuna mtanzania utamwambia NYUMBA atakuelewa wakati yeye anataka barabara ,reli kilimo ili akivuna mazao yaka ayafikisha haraka kwenye soko ili kuondokana na umasikini. (pole hamjui sisi masikini kipaombele chetu nini) hayo majembe hachana nayo kabisa.
 
ukawa,tunataka kuona msimano mkali kuhusu mali ya umma.

unajidangana hakuna cha msimamo mkali wowote wanasiasa afrika wanataka ufalme. bora walivyo ziuza ili tufanane maana sisi watumishi wadogo hatujengewi nyumba tunatumia mishhara yetu midogo kujenga na kupanga wakati wao wana mishahara mikubwa lkn wanaishi kwenye nyumba za serikali,nao wakajenge kw mishahara yao kama sisi, asante kuwakomesha,
 
kuna mambo matano ya msingi
1, je Zinamsaidiaje masikini aliyeko kigoma linda na mtwara?

2, je zile ambazo wanakaa waidi na kuripa kodi ya nyanya na watanzania masikini hawana pa kukaa inatusaidia?

3, je kuriko kuchukua mamilioni ya walipa kodi kujenga nyumba mpya za watumishi na wakati serikari haitaki kuboresha hizo nyumba kwanini zisiuzwe?

4 je tujiulize zilikuwa zinaingiza shlg ngapi kama kodi na sasa baada ya kuziuza zimesaidia kutoa ajira kiasi gani kwa masikini watanzani?

5, je ziliuzwa kwa maamuzi ya waziri au baraza la mawaziri?

Lakini cha kujiuliza kama kuna makosa ni1/3 kati ya mazuri waliyoyafanya katika utumishi wao wa miak 15-20 kwa taifa hili,hata hao mnaowasema ni wachafu hat kabla hawajapata nafasi,(nani msasi 100%)
Mkuu kanone hakika ni maswali machache lakini hayana majibu
labda wale wapiga domo la ushabiki ndio wana majibu ya porojo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom