Zeddicus Zu'l Zorander
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 797
- 929
Kwenye gazeti moja la kila siku leo limeandika muendelezo wa kesi ya Lema huko Arusha, pamoja na hayo pia limeeleza kwamba Mheshimiwa aliwakimbia polisi na kuwaacha wananchi wakipambana na polisi. Vyanzo vingine vinadai arihutubia mpaka mwisho,naomba huhakika wa jambo hili kutoka kwa wanaJF mliokuwepo eneo la tukio,kwasababu kama itakuwa ni kweli alikimbia itakuwa inatuvunja nguvu sana wapambanaji katika kutetea haki zetu.