Ni kweli kwamba watu wa Medicine bado hawajaajiriwa?

Mzingo

JF-Expert Member
Nov 2, 2014
4,729
10,497
Habarini,
Jamaa wangu kaniambia kuwa hata waliomaliza medicine ambao kwa sasa walitakiwa wawe wakitoa huduma za kitabibu wako mtaani.
Kuna ukweli wowote?
 
Aajiriwe na nani? Serikali haina hela zote imenunulia ndege! Inasingizia inaendelea na uhakiki wakati ni kuzuga tu!
 
Habarini,
Jamaa wangu kaniambia kuwa hata waliomaliza medicine ambao kwa sasa walitakiwa wawe wakitoa huduma za kitabibu wako mtaani.
Kuna ukweli wowote?
Braza bado.... na hata wakiajiriwa lazima watabaki maana wanamaliza zaidi ya elfu 1 huku serikali ikiwa na uwezo wa kuajiri mia 5 kwa mwaka.
Kumbuka kuna ambao walimaliza intern 2015 hawakuajiriwa.... jumlisha na wa mwaka jana!!
 
wewe ulisikia wapi ajira za madaktari au walimu zimetoka? ukitaka kujua hili, nenda ktk page ya fb ya wizara ya afya, kule utakutana na vilio kuhusu ajira. serikali ya wanyonge iko kimya kwakua imefirisika. na pesa kidogo iliyopatikana, ilitumika kimakosa kununua ndege
 
wewe ulisikia wapi ajira za madaktari au walimu zimetoka? ukitaka kujua hili, nenda ktk page ya fb ya wizara ya afya, kule utakutana na vilio kuhusu ajira. serikali ya wanyonge iko kimya kwakua imefirisika. na pesa kidogo iliyopatikana, ilitumika kimakosa kununua ndege
Walikurupuka wakafkr sifa kununua ndege na kuacha kilio kwa vjana, inawapa faraja labda maana kwa ukimya walionao hakika hawaoni sababu ya kufuta machoz ya vjana!
 
Back
Top Bottom