Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,307
- 18,707
Roho ndio inaongoza mwili thus chochote ufanyacho uanza na wazo ideas.Hajui chochoteee!!
Anajua Elimu ya kidhunguuuu na udhungu wao . Na Elimu ya kupata Cheti na ajira na kupokea mshahara na kujenga nyumba,kutafuta fundi Wa darasa la saba amjengee nyumba na Kununua gari afundishwe kuendesha na Dereva darasa la saba ,gari likiharibiki anamtaguta fundi Wa Darasa la saba. Akifa anazikwa na watu wasiosoma ,wasomi wenzake wanatafuta Tenda ya kuchapisha t-shirt na kupamba n.k. Akiingia kwenye biashara anakwama mana biashara imetawaliwa na Elimu ya kiroho. Akiingia Kwenye Siasa anakwama mana pametawaliwa na Elimu ya kiroho. Anasubiri teuzi baada ya akiapishwa akatemewe mate na wazee Wa kimila Tena.![]()

