Ni kweli kuwa hii miti inaua?

Ni kweli kuwa hii miti inaua?

Ni kweli hiyo miti inaleta ugomvi kwenye familia .
Kwa jirani yangu baada ya kupanda huo mti ulivyoanza kuwa mkubwa kila siku ilikuwa ni ugomvi mkubwa . Mzee mmoja akawaambia wachimbe wakate mizizi inayoingia ndan ya nyumba kukawa hamna ugomvi tena
 
Ungemuuliza jina la hiyo miti maana miti yenye ngazi ipo aina nyingi sana
Sasa hivi mti wowote wenye ngazi ngazi wanasema ni mbaya.

Mimi nilipanda miti ya krismasi ile ina ngazingazi na imechongoka juu. Ikawa kila mtu anaekuja kwangu ananiambia aisee kua makini na hii miti. Nikaona kero ikabidi niikate tu.
 
Sasa hivi mti wowote wenye ngazi ngazi wanasema ni mbaya.

Mimi nilipanda miti ya krismasi ile ina ngazingazi na imechongoka juu. Ikawa kila mtu anaekuja kwangu ananiambia aisee kua makini na hii miti. Nikaona kero ikabidi niikate tu.
Waongo, nina ushahidi mwingi tu wenye miti kwenye nyumba zao bado wapo hai wengine wana 70+ years of age
 
Inaitwa panga uzazi...hii Imani niliikuta Kanda ya ziwa,kule Mara.

Ila Kuna Mzee akanidokeza kuwa wachawi hupitia humo kumdhuru mtu aliyepanda huo mti.
 
Kuna wadada walimtembelea rafiki yao aliyejifungua albino. Wakati wanaondoka njiani dada mmoja akawaambia wenzake ingekuwa yeye ndiye kajifungua mtoto Kama yule angemtupilia mbali.

Mungu SI Athumani. Alipokuwa mjamzito, mtoto aliyejifungua naye alikuwa albino.
Kwahiyo alimtupilia mbali huyo mtoto Albino kama alivyowaeleza madada wenzake?
 
Hata sayansi yenyewe still bado mtupu.Elimu ni pana usijifungie kwenye box ukidhani umeimaliza elimu
Unaonekana kila kinachotokea unakipokea kama kilivyo lazima uweze kucriticize usiwe box
 
Kama hadi CIA wanautumia wewe nani upinge
Hao CIA hawaendeshi vitu ideologically wako materialism zaidi na huna evidence yeyote kama wanautumia kama unavyoamin ww mmekariri kumezeshwa mambo
 
Nadhani ni imani tu ya watu na wakati mwingine ukute huo mti kwa kuwa kuna imani imejengeka hivyo basi ukute kuna ambao hufariki kwa shinikizo la damu kutokana na kujengewa hofu maana kuna uwezekano kila mgeni anapokuja anasema huo mti sio mzuri hutokea hivi na hivi hivyo kama mtu ataingia hofu anajikuta afya inadhoofika.

Mie hiyo miti kuna sehemu nimeishi tangu nipo mdogo mpaka namaliza shule hakuna chochote kilichotokea na pia hata mie niliupanda nimedumu nao kwa miaka 8, niliukata pamoja na miti ya "miashoki" ili kupanda miti ya matunda lakini pia inakula space.

Vinginevyo ni miti poa tu
 
Ukiamini ina mikosi basi itakuwa hivyo lkn kwa wasioamini hakuna tatizo.
Imani ina nguvu kubwa sana.
 
Hao CIA hawaendeshi vitu ideologically wako materialism zaidi na huna evidence yeyote kama wanautumia kama unavyoamin ww mmekariri kumezeshwa mambo
Kwenye training zao wanapractice kupata information,wanatumia white magic,mfano kuingia sehemu bila kuonekana,kuingia mwilini Mwa mtu na kutap information jiulize kwann huwa wanatoa taadhari mapema,kuinvestigate matukio, nk. Elimu ni pana tusivyovijua ni vingi still sayansi imeshindwa kutupa majibu ikiwa na maana sayansi sio jibu la KILA kitu.Ni jibu la KILA kitu kwa wenye limited mind.
 
Hapa Afrika hususani Tanzania kuna imani za aina mbalimbali zihusuzo mambo tofautitofauti katika jamii yetu.Zimekuwepo tangu enzi na enzi na kadri miaka inavyokwenda nazi zinaendekea kuwepo ingawa sio kwa ukubwa huo.

Zipo imani kwenye vyakula(food taboos) mfano mama mja mzito na mayai.Wengine wanasema ukilala usiku na mfupa wa kitimoto wanga hawakusumbui!Sijui ikitokea mama mja mzito akamchukia mtu basi kuna uwezekano mkubwa akazaa mtoto anayefanana na huyo mtu!Ukimuona bundi ni dalili ya mkosi....na kadhalika na kadhalika.

Sasa kuna hii nyingine ambayo Kwangu ni mpya na imenishangaza sana.Sijui wenzangu kama mmeisikia au kuwatokea labda...

Kuna mzee wa makamo tulisafiri nae kwenye basi.Kwenye ile kuangalia mazingira kando ya barabara akaona nyumba moja ina miti ile mirefu inayokuwa na matawi kama ngazi ngazi(siijui jina kwakweli).Ni mizuri kimuonekano na inapendezesha Sana nyumba.Akaanza kudai kuwa mizizi ya hiyo miti ni mirefu na huwa inaingia ndani.Ikishakuwa hivyo nyumba yenye hiyo miti ni lazima afe mwanaume.Na pia migogoro ndani ya nyumba ya hivyo haiishi hasa ya mme na mke!Anashuhudia kuwa kuna rafiki zake wawili wameshafariki kabla hajajulishwa hiki suala.Pia kuna mama baada ya kufiwa na me wake akawa haelewani na watoto wake,hawapigi hata simu.Baada ya kutembea kwa wataalam(hapa naeleweka vizuri tuu!) akaambjwa aukate huo mti na kisha amwagie oili Ili kuua mizizi Iliyoingia ndani Baada ya kufanya hivyo watoto wake wakabadilika wakawa na mapenzi nae.Mzee anaongea kwa kujiamini kuwa anamaanisha anachokisema na akawashauri watu mule ndani kama wana hiyo miti wakaikate kabla haijaanza kuwaathiri.....

Je kuna mtu pia kawahi sikia kuhusu hili..ukweli ukoje maana hii dunia ina siri nyingi sana huwezi amini
Huo mti Mimi niliupanda eneo LA mbele ya nyumba yangu na ulikua vzr niliposikia habari zake nikaukata miaka ya nyuma.Sina uhakika hiki kinachosemwa ila katika maisha yangu sipendi kuishi kwa mashaka napendq maisha ya amani nikaona niukate ili hata siku nikipata tatizo nisije pata visingizio vya ajabu ajabu.
 
Unajua chochote kuhusu elimu ya mimea?
Unajua chochote kuhusu nguvu za asili?
Unajua chochote kuhusu Roho, nafsi na mwili?
Unajua chochote kuhusu elimu ya maumbo ya vitu, wanyama, ndege, upepo, moto, maji, nk
Hivi ni kwa uchache tu
Hajui chochoteee!!
Anajua Elimu ya kidhunguuuu na udhungu wao . Na Elimu ya kupata Cheti na ajira na kupokea mshahara na kujenga nyumba,kutafuta fundi Wa darasa la saba amjengee nyumba na Kununua gari afundishwe kuendesha na Dereva darasa la saba ,gari likiharibiki anamtaguta fundi Wa Darasa la saba. Akifa anazikwa na watu wasiosoma ,wasomi wenzake wanatafuta Tenda ya kuchapisha t-shirt na kupamba n.k. Akiingia kwenye biashara anakwama mana biashara imetawaliwa na Elimu ya kiroho. Akiingia Kwenye Siasa anakwama mana pametawaliwa na Elimu ya kiroho. Anasubiri teuzi baada ya akiapishwa akatemewe mate na wazee Wa kimila Tena.
 
Wale walikuwa ni mashetani waliovaa mwili wa mtu shetani katika umbo la mwanadamu thus Hittler alikuwa akibadilika sura anatoka kwenye ubinanadamu pindi akiivaa ile roho impayo nguvu hiki kitendo cha kubadilika sura wanacho wachawi wengi wa degree ya 33 freemason wakiwemo
Hitler alikua ni Mzalendo aliyeipenda nchi yake. Aliyewapenda Wajerumani . Aliyeipenda ujerumani . Alipenda uchumi Wa ujerumani ushikiliwe na Wajerumani wenyewe bila kubaguliwa. Lakini pia Hitler amekuja kuisaidia Afrika dhidi ya madhalimu Wakoloni waovu waliobadili mtizamo Wao baada ya vita ya pili ya Dunia. Hitler alibadili uelekeo Wa Dunia nzima na Afrika tukapata unafuu Wa kudai uhuru. Kwa Hiyo tusimbeze sana.
Hitler
Ghadhaff
Iddi Amini
Sadam n.k
Walikua ni wazalendo Kwenye nchi Zao waliovishwa vazi baya la udikiteta na wanyonyaji.

Ili nchi yote yoyote iendelee ni lazima atokee MTU mmoja Wa kujitoa muhanga dhidi ya wezi Wa Mali za umma na kulinda rasilimali za umma Kwa faida ya wengi.
 
Hitler alikua ni Mzalendo aliyeipenda nchi yake. Aliyewapenda Wajerumani . Aliyeipenda ujerumani . Alipenda uchumi Wa ujerumani ushikiliwe na Wajerumani wenyewe bila kubaguliwa. Lakini pia Hitler amekuja kuisaidia Afrika dhidi ya madhalimu Wakoloni waovu waliobadili mtizamo Wao baada ya vita ya pili ya Dunia. Hitler alibadili uelekeo Wa Dunia nzima na Afrika tukapata unafuu Wa kudai uhuru. Kwa Hiyo tusimbeze sana.
Hitler
Ghadhaff
Iddi Amini
Sadam n.k
Walikua ni wazalendo Kwenye nchi Zao waliovishwa vazi baya la udikiteta na wanyonyaji.

Ili nchi yote yoyote iendelee ni lazima atokee MTU mmoja Wa kujitoa muhanga dhidi ya wezi Wa Mali za umma na kulinda rasilimali za umma Kwa faida ya wengi.
Huo uzalendo wa Hittler si angeufanyia ujerumani pekee na sio kwenda kuchokoza mataifa mengine.
Hao wote ni madikteta dikteta ufukarisha watu wake Ili awajengee hofu ya kuogopwa awatawale.
Maendeleo ni mchakato jumuishi wa Jamii nzima kuelekea ustawi mmoja.Wezi wa raslimali za umma wapo sababu ya sheria butu,mfano hapa nchini fisadi afungwi bali ulipa faini mbuzi isipokuwa kibaka ndo ufungwa sababu hana pesa ya kununua UHURU wake. Hitler alikuwa ni shetani katika mwili
aliyekuja kumwaga damu za watu wasio na hatia,
kwa kuwatoa kafara aliyeuvaa, Wayahudi walimkosea nini hadi awamalize.
 
Back
Top Bottom