Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,864
- 41,228
Hakuna kinachoshindikana mbele ya pesaInapatikana wap hio??
Hakuna kinachoshindikana mbele ya pesaInapatikana wap hio??
Labda aulizwe yeyeHata ikirudi inskusaidia nini na wakati umeshazaa?
Ni mama yake issahMama yake Yesu ni Nani?
Kwa maombi eti??Kwamba mtumishi wake alimwambia bikra inaweza kurudi
Dah!
Ka ulivombinia baba ako au sio??Mbinue mama yako angalia kama ana rinder
Basi hatariHakuna kinachoshindikana mbele ya pesa
Tuliaswa kuishi nao kwa akiliBasi hatari
Unantukana mzeee mi na ccm wap na wap??UVCCM wa mradi wa kilimo BBT mmekosa kazi ndio mnaandika huu upuuzi wakati nchi ipo gizani, mafuta juu, sukari juu, umeme unakatika, ajira hakuna , kilimo ndio hivyo tena!
Jombi kweli lozeralhuyo kakuwekea vifuko vya rosella huko kusini mwa jangwa la sahara umevitumbua kwenye mikiki rosella imevujia kwenye kanga yake anakuzga ni damu eeh.
Katika maisha yangu sijawahi kutana nayo ndicho kilichonivuruga ila iyo mwendo kasi nimeielwaHuenda ni bikra ya mwendo kasii mkuu. sasa utafanyaje ili hali ushayakanyaga mwenyewe?
umelengeshwa yupo anga za juu mwezini hakafu ukapigwa na kitu jizito sana. Lakini hadi umri huo bikra huijui kweli? Basi kama bado hujatoa kajaribu hata ya mbuzi utuletee mrejesho hapa kwa kutupa uwiano uluio sawa sawia na ya single maza tapeli
Icho hata mm nakubali ila sio midamuUkikaa mda mrefu hata kujitawaza ukiingiza kidole unakutana na ugumu
Speaking from experience
Hata miez 6 tu inarudi sema hutotoka dam
🤣🤣🤣 single mother alafu msifanye mapenzi hadi ndoaWasalaam madaktari na wahenga...
Ninaandika uzi huu nikiwa na maswali mengi yakinichanganya akili.
Nina mchumba wangu ni single mother pia amenizidi hadi umri.
Kwanza ameokoka na katika uchumba wetu, aligoma tusifanye mapenzi kabla ya ndoa otherwise hatutafikia hatua ya malengo yetu, nilitika kishingoupande ila sikukubali kwakua wanawake wa mjini ni janja janja saana. Niliendelea kumchombeza mwishoe akajaa akahitaji tu sex.
Alinipa taadhari kwamba ni miaka mitatu hajafanya mapenzi hivo anahisi atakua kama bikra. Nilifurahi kusikia hivo.
Basi siku tunakutana sikuamini alijifanya kuhangaika na kuomba atandike kitenge chake ili asijechafua shuka la hotel, nilianza kuona vitu vya ajibu kama discharge zenye u kijani nikasema ngoja ni stop nijifute, kuja kufuta zikabadilika rangi na kua nyekundu mithili ya damu, kumcheki na yeye kwenye uke kuna damu? Kumuuliza anasema anashangaa hata yeye hajui pengine ni bikra ivo nimemtoa bikra upyaa.🙄🙄🙄
Akaniambia amekua akiskia maumivu nilipokua na muingilia kwakua ni mda mrefu, hata ivo amekua mtu wa maombi saana kiasi ya kwamba mtumishi wake alimwambia anaweza rudisha bikra yake atakama alisha zaa.
Kifupi damu zilitoka nyingi hadi kero lakini chaajabu sijaona ugumu katika kumwingilia, yaani nikama nilikua nafanya mapenzi na mwanamke mzoefu... nikabaki najiuliza je ni bikra fake (maana naskia zipo) au ni mgonjwa??
MADAKTAR mnisaidie sio mgonjwa kweli?? Na ka mgonjwa atakua anaumwa nn?? Na je hajaniambukiza?
Na nikweli bikra ya nyuzi inaweza kurudi ndani ya miezi mitatu?
Makungwi pia nisaidieni hapo?
kuhusu period hakua tarehe za period
natanguliza shukrani🙏
Huyu ni taira kabisaTuliaswa kuishi nao kwa akili
Si ndo mana nika force🤣🤣🤣 single mother alafu msifanye mapenzi hadi ndoa
Atakuwa kakuroga huyo
Ananiambia ameenda botch hospital madaktari wananishangaa et ni mwanaume gani naogopa bikra??