Ikwanja
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 2,082
- 581
Wadau,
Naomba kuuliza, hivi ni kweli kuna mgomo wa mafuta. Maan nasikia kwenye baadhi ya vituo vya mafuta kuna foleni. Tangu jana niliona kuna email na sms zinazunguka kuwa kutakuwa na uhaba wa mafuta, Luku zitaadimika na dolar itapanda hadi 2000.Wadau mwenye data kamili naomba atujuze.
Nawasilisha
Naomba kuuliza, hivi ni kweli kuna mgomo wa mafuta. Maan nasikia kwenye baadhi ya vituo vya mafuta kuna foleni. Tangu jana niliona kuna email na sms zinazunguka kuwa kutakuwa na uhaba wa mafuta, Luku zitaadimika na dolar itapanda hadi 2000.Wadau mwenye data kamili naomba atujuze.
Nawasilisha