Mkuu jamaa anazungumzia masuala ya depression ambayo unaweza kui-term kama maniac depression kama sikosie ni ugonjwa wa akili wa kiaina, mtu anaweza kuonekana kasonononeka sana au kukasirika ovyo ovyo bila sababu na wakati mwingine kubwabwaja maneno yasiyo kuwa na kichwa wala miguu, phase hiyo ikipita anaingia phase ya kufurahi kuelewana na kila mtu na kuwa mstaarabu phase hizo zina alternate wiki fulani yuko in good mood wiki nyingine yuko kama mbogo na mara nyingi huwa awajitambui kama wapo kwenye sonono au la mpaka mtu wa karibu nae amshitue, neno Bipolar linamaanishi mtu huyo huyo anakuwa na split personality wiki hii yuko hivi wiki inayo fuata yuko tofauti kabisa!
Wanasayansi/madaktari waligunduwa kwamba mara nyingi phases hizi uambatana na miandamo ya mwezi (ndio maana kundi hili wanasena wana element za U Lunacy) au u- psychopath unao ambatana na phases za mwezi kama sikosei.