Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,170
- 8,622
Nakubaliana na maneno ya Luhaga Mpina kuwa yeye ni mbunge wa taifa.
Angalia anavyopambana kwa ajili ya kupigania maslahi ya umma na taifa kwa ujumla.
Angalia alivyopambana juu ya zao la pamba kwa manufaa ya watu wa jimbo lake.
Hii ni wazi kuwa ni mbunge wa taifa na jimbo lake kwa ujumla.
Angalia anavyopambana kwa ajili ya kupigania maslahi ya umma na taifa kwa ujumla.
Angalia alivyopambana juu ya zao la pamba kwa manufaa ya watu wa jimbo lake.
Hii ni wazi kuwa ni mbunge wa taifa na jimbo lake kwa ujumla.