Ntakuwa muhehe wiki ijayo 😁
Kwahiyo jibu asubir wiki ijayo 😅😅😅Ntakuwa muhehe wiki ijayo 😁
awe na uvumilivu tu siku sio nyingi 😁Kwahiyo jibu asubir wiki ijayo 😅😅😅
Wambie waniuzie utumbo nileNingependa kujua kama kweli iringa wanakula mbwa maana naskia , iringa nyama bei rahisi kg 1 ya nyama ni elfu 2
Watu wa Iringa nipeni majibu.
Wanakula. Nimeishi huko. Mpigie huyo jamaa mwambie una mbwa anakuja kuchukua.Ningependa kujua kama kweli iringa wanakula mbwa maana naskia , iringa nyama bei rahisi kg 1 ya nyama ni elfu 2
Watu wa Iringa nipeni majibu.
Hadi sasa wanakula na wanakunywa na ulanzi vilabuni. Mjaribu huyo jamaa mwenye namba hii ni mchinjaji. Alikuwa anabadilisha mbwa kwa jogoo.Ilikuwa zamani, siku hizi hawali.
Ngoja nimpigie mi ThomasoHadi sasa wanakula na wanakunywa na ulanzi vilabuni. Mjaribu huyo jamaa mwenye namba hii ni mchinjaji. Alikuwa anabadilisha mbwa kwa jogoo.
Mjaribu ulete ushuhuda. Niliishi huko miaka 2 iliyopita. 0652242163
Umepigia jamaa?Ngoja nimpigie mi Thomaso