Ni kweli hii! ya wazungu kuishi kwenye hali ngumu hivi kwa madiba

Ahahahaaha!! Kwa gia nitakayotinga nayo watakubali tu wenyewe....! Dhiki ni mwanaharamu hawana ujanja teena kwa pigo hilo la umaskini.

matter of fact bado nina kamkopo kangu ka saccos.!

Nisaidieni wanaishi mji gani pale South, nifanye kabisa booking ya fastjet mapeeema.

Crack and broke white gals in SA here I come.
angalia wasijegawana suruali na shati, mitaa hii ukionekana na rand kumi inatosha kukutoa roho
 
Ngoja nami nielewe vizuri, huko afrika kusini hao watu weupe hamuwaiti wazungu! pamoja na kwamba wanaitwa white south Africans tangu enzi hizo na kipindi cha apartheid...na pia Babu zao wametokea ulaya, especially uholanzi miaka ya 1600...
basi mie ninachojua mzungu ni white person of caucasian origin....yani European origin...Afrikaans ni Wa dutch yani Caucasian.....Au? hebu tueleweshe mkuu

na pia labda nisichanganye mambo, kuna vitu viwili tofauti hapa, Africans ni blacks, halafu kuna Afrikaans ambao ni makaburu wenye asili ya Uholanzi
Kwa kuongezea hao wanaowaita warangirangi nafikiri wanamaanisha colored people ambao ni mix au wenye asili ya Asia.
 
KWANZA REKEBISHA TAMKO LAKO, HAO SI WAZUNGU! NI MAKABURU!, WANAISHI MAKAZI MAALUM YANAITWA MPUMALANGA SA. NI MAHALA PENYE MAISHA YA CHINI MNO! KUTANA NA KABURU YYT BONGO AU KWINGINEKO THEN MUULIZE HIVI, ARE YOU FROM MPUMALANGA! UONE SHUGHULI YAKE! NI SAWA NA KUMWAMBIA MCHAGA KUWA ANATOKEA KISHIMUNDU!!!
Kwani mzungu ni nani?
 
Hata marekani taifa kubwa wapo homeless,tena wengine wana degree zao.
Huwa nashangaaga kutwa mnamlaumu jk eti kawatiwa umasikini,wakati sikuhizi hata mishenitown anamiliki kibabywalker na wakati miaka 15 iliyopita hakuwa na uwezo hata wa kununua baiskeli ya phonex
Hii inaendana na uzi kweli? Anyway potezea
 
Uzoefu wangu wa kuishi na hawa tunaowaita wazungu kutokana na utofauti wa rangi ya ngozi zetu, nywele na macho, kumenifanya nifahamu kuwa wengi wao wanajiona ni binadamu wa kawaida na wenye kuweza kukutwa na hali ya shida na raha kwenye maisha.

Ingawa wengi wao hupendelea kutatua matatizo yao mapema na kuzuia hata yale ambayo bado hayajawakuta ilimradi wasiweze kupata shida maishani. Jambo ambalo linatokana na historia ngumu walizopitia ambazo hawapendi zijirudie.

Kwa upande wetu sisi watu wenye asili ya Afrika matatizo yaliyopo mbele yetu ndio yanapewa kipaumbele kuliko yale yajayo, hivyo inakuwa ngumu kujikomboa kutokana na matatizo yajayo kama wenzetu.

Jambo linalotufanya wengi wetu kustaajabu kuwaona wazungu katika hali kama hiyo, ingawa ni hali ya kawaida inayoweza kumkuta binadamu yeyote.
 
South kote huko, nenda Kilosa ukajinyakulie mtoto wa kihindi

Mhh! Makubwa haya jama! Huko labda watoto wa kimasai ndo najua bwerere, ila bahati mbaaya siendani saana na wahindi maana ni wabaguzi toleo la kwanza kwa wamatumbi (weusi).

Safari yangu ya kwenda kwa mzee Madiba ipo pale pale....mazungu yamezagaa tu kule kila kona ni randi zako tu nang'oa tasha nakuja kuwakoga waswahili punde naanzisha na kakampuni uchwara ka kwenye briefcase then unapiga pesa murua na nyepesi.

Wazo la kwenda kwa mzee Madiba lipo pale pale Kilosa na Dumila aende Pawasa.
 
Mhh! Makubwa haya jama! Huko labda watoto wa kimasai ndo najua bwerere, ila bahati mbaaya siendani saana na wahindi maana ni wabaguzi toleo la kwanza kwa wamatumbi (weusi).

Safari yangu ya kwenda kwa mzee Madiba ipo pale pale....mazungu yamezagaa tu kule kila kona ni randi zako tu nang'oa tasha nakuja kuwakoga waswahili punde naanzisha na kakampuni uchwara ka kwenye briefcase then unapiga pesa murua na nyepesi.

Wazo la kwenda kwa mzee Madiba lipo pale pale Kilosa na Dumila aende Pawasa.
Haya mkuu. wakilisha
 
Yah ni kweli mkuu, ni kwamba inaeleweka umasikini upo all over the world kwenye some community sections, na mbaya zaidi sehemu ambazo rasilimali zote za kuzalisha zimeshamilikishwa.
binafsi nimezoea kuona katika vyombo vya west waki potray nchi za africa tulivyo wachovu, magonjwa, vita, naamini ukitazama archives kuhusu tanzania, image zilizo popular ni picha za watu hoi sana, vinyumba vya udongo, albino etc....hakuna zinazoonyesha maeneo nadhifu kwakweli. Pia ujue watu wengi bongo hawaamini kuwa watu weupe nao wanahali ngumu, wezi, ma gangsta, machangu, ombaomba. etc...
Ishu nikwamba hata wao wanaathirika na utendaji mbovu wa wanasiasa.....hata kwao rushwa, wizi, uzembe mikataba ya kijanja vinawaathiri, na matokeo ndio hayo..
Kwahiyo naamini ni vema ku-encourage viongozi wanaopigania haki za wote, social justice....ASANTE DR MAGUFULI kwa kazi nzuri.
Yeah umenena vyema mkuu... Wazungu huwa wanapenda kutupotray sisi waafrica like diggers flani hivi amaizing! but kumbe kwao pia mambo ni ovyoooo....let say kama US niliona clip moja aliionesha yule Mange Kimambi IG duuh nilichoka, wazungu wanalala mitaroni na barabarani still wanadepend food coupons from donors...si bora yao hata hapo south ni masikini lakini wanamiliki vijumba!...poverty is all over the world bana wazungu wasitutishe...
 
Back
Top Bottom