Home tutor Dar
Senior Member
- Feb 23, 2025
- 114
- 139
I hope uko poa mdau wa jamiiforms,Baadhi ya Viongozi waliobalikiwa akili nyingi za kiutambuzi wamekua wakitusanua sana sisi watanzania juu ya mambo mbalimbali .
Mfano ukifuatilia ziara za Viongozi wanatoa kauli kama "Amka Kuna watu wanalionea wivu Taifa letu sababu ya utajiri " "Watanzania tusiwe wajinga kulichoma Taifa letu wenyewe " "Hii ni vita ya kiuchumi"Tunadanganywa tushutuke"Wamtukosa kote Sasa wameingia kwenye udini tukisikubali " Hizi ni baadhi ya kauli za Viongozi wakituamsha usingizini.
Nauliza swali watanzania licha ya wengi wetu kwa Sasa kupata elimu bado tunashindwa kushutukia hujuma kwa nchi yetu mpk tusanuliwe?
Mfano ukifuatilia ziara za Viongozi wanatoa kauli kama "Amka Kuna watu wanalionea wivu Taifa letu sababu ya utajiri " "Watanzania tusiwe wajinga kulichoma Taifa letu wenyewe " "Hii ni vita ya kiuchumi"Tunadanganywa tushutuke"Wamtukosa kote Sasa wameingia kwenye udini tukisikubali " Hizi ni baadhi ya kauli za Viongozi wakituamsha usingizini.
Nauliza swali watanzania licha ya wengi wetu kwa Sasa kupata elimu bado tunashindwa kushutukia hujuma kwa nchi yetu mpk tusanuliwe?