Kuna siku Musukuma alitishia kuweka wazi miamala ya fedha toka CCM kwenda kwa Mbowe ili aendeshe chama tukadharau.
Mchungaji Msigwa, aliwahi kusema 'Chadema sio taasisi ni mali ya Mbowe' ni biashara ya familia, tukadharau.
Kuna baadhi ya wana CCM walikuwa wakisema Chadema ni Sacos inayomilikiwa na Mbowe na wachaga wenzake ndani ya chama tukawapuuza.
Paul Makonda aliwahi kusema Mbowe ni mtu wetu na Chadema ni tawi letu tumemfutia kesi zote na kumrudishia biashara zake zote.
Yanayotokea leo yanatupa picha gani kwenye ukweli huo.
Je, ni kweli Chadema ilikuwa Sacos na mali ya Mbowe?
Je, ni kweli Chadema lilikuwa tawi la CCM?
Je, ni kweli Mbowe alikuwa akipokea fedha kutoka CCM?
Mchungaji Msigwa, aliwahi kusema 'Chadema sio taasisi ni mali ya Mbowe' ni biashara ya familia, tukadharau.
Kuna baadhi ya wana CCM walikuwa wakisema Chadema ni Sacos inayomilikiwa na Mbowe na wachaga wenzake ndani ya chama tukawapuuza.
Paul Makonda aliwahi kusema Mbowe ni mtu wetu na Chadema ni tawi letu tumemfutia kesi zote na kumrudishia biashara zake zote.
Yanayotokea leo yanatupa picha gani kwenye ukweli huo.
Je, ni kweli Chadema ilikuwa Sacos na mali ya Mbowe?
Je, ni kweli Chadema lilikuwa tawi la CCM?
Je, ni kweli Mbowe alikuwa akipokea fedha kutoka CCM?