Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Leo asubuhi nilisikia kwenye redio Free Afrika katika mapitio ya magazeti kwamba Askofu Mokiwa alilalamika kuwa alipelekewa rushwa ya shilingi milioni 11 ili kunyamazisha baada ya ile kauli yake ya kukemea rushwa.
Wale waliokuwa kwenye ibada hiyo tunaomba habari kamili.
Wale waliokuwa kwenye ibada hiyo tunaomba habari kamili.