Ni kweli ajira nyingi zinategemea na chuo ulichosomea?

Simon Lucian

Member
May 24, 2022
12
2
Ni kweli ajira nyingi zinategemea na chuo ulichosomea, mfano waliosoma vyuo Kama MUHAS, UDOM na UDSM wanaajiriwa sana kuliko waliosomea vyuo vya kawaida kama Kampala University n.k
 
Kupata ajira inategemea na mambo Mengi, konection, kuna Binti mtoto wa mpiga picha maarufu wa ccm,ISSA michuzi, huyo Binti alimaliza udom mwaka 2014, leo ni mkurugenzi wa halmashauri!sasa uteuzi wake umetumia kigezo gani zaidi kwamba baba yake ni kada mkubwa CCM?

Kuna dini,kabila,Kuna makampuni hapa bongo utashangaa yamejaa kabila moja,ukienda Hubert kairuki hospital, Wahaya kibao, Sanitas hospital, watani zangu wachaga kibao, ukienda Oil com vituo vya mafuta, deport kuomba kazi kama sio Islam au mwarab, hupati kazi, may be ya ulinzi, lakini nafasi za juu kama uasibu, lazima uwe mwarab, Somali, lakini sio kitu jeusi kama mie muraa!

Kazi zingine mpaka utoe pesa,
 
Aliyekuambia nani,ajira haitegemei chuo wala gpa ni swala Na connection Na juhudi binafsi za kutafuta kaZi udsm kibao wako mtaani wana bet
 
Hilo linatazamwa sana mfano kwenye sekta ya afya huwa wanaamin ufaulu wa vyuo vingine ukiachana na muhas au udom huwa ni wa kupewa
 
Ni kweli ajira nyingi zinategemea na chuo ulichosomea, mfano waliosoma vyuo Kama MUHAS, UDOM na UDSM wanaajiriwa sana kuliko waliosomea vyuo vya kawaida kama Kampala University n.k
Exactly ukisoma vyuo mchongo kuhusu ajira sahau
 
Sometimes ina make sense japo connection is every things, cha muhimu ni kupata elimu kutoka chuo kina chotambulika na serikal pamoja pmoja na course inayotambulika na Utumishi . mfano katika Ajira za madereva wanatoa preference kwa waliosoma chuo cha NIT, Financing courses - IFM, law UDSM au Mzumbe, education CBE, health MUHAS au UDSM-MCHAS au UDOM , Engineering DIT au ARU n.k hii inakuweka probably kama competent applicant katk ajira.
 
Sometimes ina make sense japo connection is every things, cha muhimu ni kupata elimu kutoka chuo kina chotambulika na serikal pamoja pmoja na course inayotambulika na Utumishi . mfano katika Ajira za madereva wanatoa preference kwa waliosoma chuo cha NIT, Financing courses - IFM, law UDSM au Mzumbe, education CBE, health MUHAS au UDSM-MCHAS au UDOM , Engineering DIT au ARU n.k hii inakuweka probably kama competent applicant katk ajira.
course za afya nina uhakika 100% hawaangalii vyuo na kama ukisema waangalie vyuo MD wa Udom wanapondwa sana mitaani so sidhan kama watapata preference kama unavosema ila all in all kwenye afya chuo hakiangaliwi, kwa uzoefu wangu mdogo ni experience ya kaz ndo inaangaliwa kwenye afya na ufahamu wako wa mambo
 
Sometimes ina make sense japo connection is every things, cha muhimu ni kupata elimu kutoka chuo kina chotambulika na serikal pamoja pmoja na course inayotambulika na Utumishi . mfano katika Ajira za madereva wanatoa preference kwa waliosoma chuo cha NIT, Financing courses - IFM, law UDSM au Mzumbe, education CBE, health MUHAS au UDSM-MCHAS au UDOM , Engineering DIT au ARU n.k hii inakuweka probably kama competent applicant katk ajira.
Yaan Engineering ya UDSM inazidiwa na DIT au ARU? wee hauko serious kabisaa.
 
Back
Top Bottom