Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,192
Tujadili AKILI ya watanzania na sio urefu, ufupi.Wachina,Japani,Korea nk Hawatufikii urefu sisi Watanzania ila akili yao ina fanyakazi mpaka wazungu wanaweweseka. Urefu unafaida gani zaidi ya kukimbia riadha,mieleka,ngumi Kikapu.Akilu inafaida gani zaidi kuliko urefu, bora upate akili ukose urefu.