magombe junior
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 2,015
- 1,032
Mimi binafsi asiponiomba adi naumwa,,,i love giving out kwa gal wangu
na wewe unavyo ombaomba papuchi!! kama huna hela tulia...waachie wenye nazo wakugongee
wengi wao ndio wanavyofikiri kuwa akiwa na mpenzi ni wajibu wake kumsaidia.Shida zooote huzihamishia kwa mpenzi wake.
Ndicho kizazi cha sasa.
Wito kwa wanaume. dont date a student. pia dont date mtu asiye na kaz. yupoyupo tuu. ni mizigo kwako na jamii kwa ujumla. Ukiombwa hela sio lazima kumpa. kuwa mgumu.
akizingua apite kulee,wewe sio mzazi wake. akisepa kimpango wake.Utapata mstaarabu mwenye akili timamu anayejua mapenzi ni nini
We mpe hela,sindio mapenz kusaidiana! Yeye mbona anakusaidia papuchi! Mpe hela we mpe hela.
Kumhudumia mpenzi /au mke ni wajibu jamaniii hamtaki msahau pachuchiiii
Kumekua na hii tabia ya baadhi ya wanawake kupenda kuomba hela kutoka kwa wapenzi wao, huwa najiuliza tatizo ni nini? Wao wanahisi sisi wanaume tunapata wapi hizo hela wanakoshidwa wao kuzipata.!? Utakuta mwanamke mzima kabisa eti ninaomba laki laki.
Utetezi wao eti mwanamke inabidi umjali, mwanamke anaeombaomba hela hafai hata kwa pilipili haliki.
Wanaume wanaolialia wakiombwa hela nawaona wajinga na hawajakomaa kiakili.
Hivi mpenzi wako kukuomba hela unaumiaaaa!!
Hujawahi kukwama ukaomba msaada sehemu(iwe kwa mkopo au kusaidiwa bure)
Sasa kila mtu anaeombwa alalamike? Hata wewe mwanaume ukiwa na shida ya pesa huwezi kumuomba mpenzi wako?
Acheni uongo kwamba wanawake tu ndio wanaomba hela, hata wanaume pia huwaomba wapenzi wao hela.
Inategemea na wewe unavyolichukulia suala la kuombwa hela.
Daah nimecheka sana!! Hizi thread zingine hizi looo...acha nijipitie zangu.
Wacha weMwanamke akikupenda hakuombi ombi hela hovyo..unless anashida kweli kwanza ata kukuomba anashindwa...asiekupenda sasa utafurahi na roho yako maana utachuuunwa..tena anampa na ampendae.