Ni kwanini wanawake hawaigopi HIV?

Ni kwanini wanawake hawaigopi HIV?

Betason

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2015
Posts
387
Reaction score
700
habari za wakati huu wana MMU...

Katika mahusiano kadhaa niliyoyapitia mimi ndiye niliemshawishi mwenzangu kupima HIV kabla ya kuanza kulila tunda ila mara nyingi nimechunguza wengi huwa wanasahau kabisa yan akishakolea hakumbuki kama ni muhimu kujua afya ya mwenzake.

Ndo kusema wanawake hawaogopi HIV ama wakishamuona abdala kichwa wazi wanalegeza masharti?
 
mkuu ni hivi ukimchukua Dem mkaenda rum mkaanza romance anatulia ukamchojoa kyupii anatulia ukaingiza dushe anatulia mkimaliza anaanza bebi umekojolea ndani? mm naogopa mimba bebi hatokuambia anaogopa ukimwi kamwe
 
mkuu ni hivi ukimchukua Dem mkaenda rum mkaanza romance anatulia ukamchojoa kyupii anatulia ukaingiza dushe anatulia mkimaliza anaanza bebi umekojolea ndani? mm naogopa mimba bebi hatokuambia anaogopa ukimwi kamwe
ukweli mchungu huu...mm huwa nakereka sana yan mwanamke asiejali afya yake namuona kwanza ni kama muuaji..
 
mkuu ni hivi ukimchukua Dem mkaenda rum mkaanza romance anatulia ukamchojoa kyupii anatulia ukaingiza dushe anatulia mkimaliza anaanza bebi umekojolea ndani? mm naogopa mimba bebi hatokuambia anaogopa ukimwi kamwe
Kwako ww inamaana mimba n hatar kuliko UKIMWI?
 
daa hii kali sana sisemi kitu ila nitasema kitu mda si mrefu nitapost jambo
 
Wanawake karibu 80% hawana maamuzi kwenye sex.. Akili sijui huwa zinaama! Hawa watu kazi kweli kuwaelewa
 
mkuu ni hivi ukimchukua Dem mkaenda rum mkaanza romance anatulia ukamchojoa kyupii anatulia ukaingiza dushe anatulia mkimaliza anaanza bebi umekojolea ndani? mm naogopa mimba bebi hatokuambia anaogopa ukimwi kamwe
UMESEMA UKWELI MTUPU....ILA PIA KUNA MAKONKODI MENGINE HAYAHOFII KITU.
 
Back
Top Bottom