Ni kwanini Russia haiwekezi sana Afrika ?

Ukilinganisha na mataifa ya Magharibi, China na Ulaya ambazo zinapigana vikumbo kwenye bara hili? Kuna mwenye ufahamu atudadavulie wanajukwaa.

N'yadikwa
Warusi nao wapo kwenye mbio za kuiteka Africa, ingawa wanafanya hivyo "kimya kimya".

Russia’s Growing Influence in Sub-Saharan Africa
1537034704900.png
Arkady SAVITSKY | 05.06.2018
Rwanda wants to buy Russian air defense systems. The issue was discussed during the visit of Foreign Minister Sergey Lavrov to that country on June 3. The Rwandan security forces already use helicopters, small arms and Ural Typhoon mine-resistant armored trucks produced in Russia.

Moscow has recently ramped up its military assistance to the Central African Republic (CAR) upon the request of the country’s government. Last month, Russian President Putin met CAR’s President Faustin Archange Touadera in St. Petersburg to hold talks on boosting bilateral ties, including military cooperation. It’s done in strict compliance with international law. In December 2017, the UN Security Council approved a deal allowing Russia to send arms and military instructors to that crisis-hit country. The UN was provided with the serial numbers of the transferred weapons to enable international observers to track them. The arms deliveries are gratuitous.

The Democratic Republic of Congo (DRC), a traditional ally of the West, has begun shifting its foreign policy priorities looking for other partners. Last month, the DR Congo’s government announced its decision to revive the 1999 military agreement with Russia. It wants Moscow to deliver armament and train military personnel of the DRC. It also hopes to expand the bilateral economic cooperation, covering the mineral production, agriculture and humanitarian contacts.

In 2017, Russia signed a $1 billion defence cooperation agreements with Angola and Nigeria. Moscow and Luanda are in talks on increasing the scope of military ties.

Russian Rosoboronexport has long-term relations with Angola, Mali, Mozambique, Nigeria, Uganda, Zimbabwe and several other sub-Saharan nations that include arms sales and equipment maintenance. Since 2013, the construction of service centers has been in full swing. In 2017, Russian weapons were delivered to the following sub-Saharan African nations: Kenya, Nigeria, Mali, and Angola (Su-30K jets). A contract was confirmed with Equatorial Guinea for purchase of Pantsyr-S1 air defense systems. In August 2017, Burkina Faso ordered two Mi-171 helicopters. Russia is the leading arms importer to the region, accounting for 30% of all supplies.

Russia’s weapons are in high demand being cheap and effective as has been proven by their use during the Syrian conflict. The thriving military cooperation goes hand in hand with developing ties in other areas. Trade with African countries located south of the Sahara desert was $3.6 billion in 2017. For comparison, it was $3.3 billion in 2016 and $2.2 billion in 2015. Russia is involved in exploration, mining, and energy projects. ALROSA, a diamond-mining company, operates in Angola, South Africa, Sierra Leone and Namibia. The talks are on the way to reach an agreement with the African partners to avoid double taxation and protect intellectual property.

Transport and agriculture are promising areas for joint projects. The construction of nuclear science centers in Zambia and Nigeria, as well as a nuclear power plant in South Africa, a BRICS member, are on the talks’ agenda. In April, the government of Sudan invited Russia to take part in its energy projects. Khartoum and Moscow enjoy special relationship. Last year, Sudan’s President Omar al-Bashir asked the Russian president for “protection from the aggressive acts of the United States." 28 out of 55 African nations have growing trade with Russia. Cooperation with Ghana, Tanzania has promising future. Angola, Mozambique, Namibia and Zimbabwe are historical friends with experience of doing business with Russian partners. The relations with the African Union are considered in Moscow as an issue of special importance.

In March, FM Lavrov toured Angola, Zimbabwe, Mozambique, Namibia and Ethiopia to boost multifaceted relationships. The same month, the African Continental Free Trade Agreement (AfCFTA) was signed to open new horizons for economic cooperation. In January, the Single African Air Transport Market was launched to be made even more attractive with coming in force of the Protocol on Free Movement of Persons, the right of Establishment and the Right of Residence. Russian businessmen will get more information on new opportunities when they visit the first Intra-African Trade Fair to take place in Cairo on December 11-17, 2018. The program of Saint Petersburg International Economic Forum (SPIEF) held in May included special sessions on business and investment opportunities within the framework of the “Russia – Africa Business Dialogue.” The SPIEF-2018 held two special celebrations to mark Africa Day and the 55th anniversary of the African Union.

The US influence in the sub-Saharan Africa is on the wane. In contrast, Russia is making strides to strengthen its position in the region. President Vladimir Putin announced the policy of boosting ties with the region in 2006 when he visited Sub-Saharan Africa. He kept his word. The region has become an essential vector for the foreign policy of Russia, which is becoming another major player on the continent.

Source: Strategic Culture
 
Wawekezaji wa kirusi nje ya nchi yao ni rahisi kufilisiwa na wamarekani kwa vikwazo.Putin akifanya issue tu basi wazayuni wanadeal na wafanyabiashara wakubwa kwa kuwa wana konection na kremlini.Rejea walichomfanyia boss wa RUSAL,Boss wa chelsea ana bahati kwa kuwa ana uyahudi ndani yake ndio maana UK hawajamshikisha adabu sana.
 
Mrusi kinachomsumbua ni ubaguzi na ndio maana hata putin huwezi muona Africa, ana eneo kubwa sana ambalo lina rasilimali nyingi
Hivi mzungu na mrusi wanazidianaje kwenye ubaguzi...nikajiuliza pia, mbona tuliwahi kuunga urafiki na hawa warusi huko miaka ya 70,80z kwanini sasa inakuwa ngumu kushirikiana kwenye uchumi kama tunavyofanya na uchina
 
Ukilinganisha na mataifa ya Magharibi, China na Ulaya ambazo zinapigana vikumbo kwenye bara hili? Kuna mwenye ufahamu atudadavulie wanajukwaa.

N'yadikwa
katika miaka ya 1950-1980's Russia(USSR) ilikuwa na power kubwa sanaa.. na ndie alikuwa mpinzani na USA.. sasa.. kilichotokea ni kuanguka kwa dola ya USSR.. na kuibuka kwa CHINA.. ambayo ilichuana vikali na USA.. ambayo ni capitalist wakati CHINA ni Socialist.. waliigawana bara la AFRIKA.. na kulitenga katika matabaka mawili ingawa wapo waliojitenga na kukaa katikati..

RUSSIA (USSR) iliakufa nguvu.. kutokana na kupandikizwa kwa vibaraka wa USA.. katika UONGOZI wake wa juu hivyo kupunguza msukumo wa kuwekeza nchi za dunia ya 3.

China walichukua nafasi ya USSR na kuchuana na USA kugombea bara la AFRIKA kupitia idea ya UKOLONI mambo leo.. ndio maana unakuta wanamiradi mingi inayofanana..

RUSSIA haina nguvu tena kwa sasa.. so haiwez ushindani wa CHINA NA USA
 
Papason
Sasa ukiwa na kingi ziada unauza.Tupigane vita vya wenyewe uone kama hawajaja kwa kasi kuuzia waasi mabomu na bunduki ambapo kama huna pesa mutabadilishana na madini au mafuta(eg.Syria)[/QUOTE]
 
katika miaka ya 1950-1980's Russia(USSR) ilikuwa na power kubwa sanaa.. na ndie alikuwa mpinzani na USA.. sasa.. kilichotokea ni kuanguka kwa dola ya USSR.. na kuibuka kwa CHINA.. ambayo ilichuana vikali na USA.. ambayo ni capitalist wakati CHINA ni Socialist.. waliigawana bara la AFRIKA.. na kulitenga katika matabaka mawili ingawa wapo waliojitenga na kukaa katikati..

RUSSIA (USSR) iliakufa nguvu.. kutokana na kupandikizwa kwa vibaraka wa USA.. katika UONGOZI wake wa juu hivyo kupunguza msukumo wa kuwekeza nchi za dunia ya 3.

China walichukua nafasi ya USSR na kuchuana na USA kugombea bara la AFRIKA kupitia idea ya UKOLONI mambo leo.. ndio maana unakuta wanamiradi mingi inayofanana..

RUSSIA haina nguvu tena kwa sasa.. so haiwez ushindani wa CHINA NA USA
Jidanganye hivyo hivyo mkuu....
 
Hivi mzungu na mrusi wanazidianaje kwenye ubaguzi...nikajiuliza pia, mbona tuliwahi kuunga urafiki na hawa warusi huko miaka ya 70,80z kwanini sasa inakuwa ngumu kushirikiana kwenye uchumi kama tunavyofanya na uchina
Swali zuri.
 
Hata kama wana rasilimali bado wanahitaji kuwekeza na kutafuta fursa za masoko sasa mbona hawaji sana Africa ?
 
1.0.Uyahudi na historia ya Mtu mweusi

1.2.Wayahudi weusi na Laana ya kongwa la chuma(Uthibitisho wa Kibiblia)

Na Bro.Justine Kissay

Juma lililopita jahazi letu lilianza safari ya uthibitisho mkuu ya kwamba biashara ya utumwa ya Afrika Magharibi na ile ya Mashariki(Tanganyika na Zanzibar) ilihusisha wayahudi halisi wa kwenye Biblia ambao ni jamii ya watu weusi.Uthibitisho huo tuliupata kwenye kitabu cha kumbukumbu la torati sura ya 28 mstari wa 68 unaosema "BWANA atakurudisha tena Misri kwa Merikebu.Mstari huo unathibitisha dhahiri kwamba wale watumwa kutoka Afrika walikua ni wayahudi halisi kwa sababu katika kipindi chote cha historia ulimwenguni,ni watu weusi pekee ndio waliopelekwa utumwani kwa Merikebu tena wakitokea Afrika.Pamoja na ukweli huo uliozikwa kwa muda mrefu ya kwamba wayahudi halisi ni watu weusi,wapo ambao jambo hili halitapata kibali cha kupenya kwenye fikra zao,wakidhani kwamba huenda ikawa ni mapokeo mapya ama pengine ni hadithi tu ya kusadikika.Lakini hii ni kutokana na mbinu za utawala wa fikra(mind control ) zinazotumiwa na wazungu ule uzao wa Esau kupitia mifumo yao ya elimu waliyoiratibu,ambayo muda wote inaipa ukweli kisogo, huku ikiuacha uwongo ukitamalaki kwenye majoho na kofia za shahada.Naam tumekua mateka wa kudumu wa fikra kwa sababu hata historia yetu(watu weusi) imeandikwa na wahisani.Mwanaharakati nguli wa kutetea haki za watu weusi,Malcom X aliwahi kusema kwamba "Only fools would let their enermies educate their children"akiwa na maana kwamba ni wajinga pekee ndio wataruhusu maadui zao kufundisha watoto wao.Naam huo ndio ukweli wa mambo kwani tumeruhusu wahisani wamwage wino kwenye vitabu vya historia yetu na mbaya zaidi tumeendelea kushiriki kikombe chao cha udhalimu kwa kuendelea kutumia mitaala ya elimu yenye mkono wao..Naam tumejiandalia umauti wa historia yetu kwenye makalabrasha ya vitabu vya historia.Sasa Jahazi letu bado limetia nanga kwenye Kumbukumbu la torati sura 28 ili kuendelea kukomelea msumari wa uthibitisho ya kwamba biashara ya utumwa Afrika iliwahusu wayahudi halisi ambapo mstari wa 48 unasema "kwa hiyo utawatumikia adui zako atakaowaleta Bwana juu yako, kwa njaa, na kwa kiu, na kwa uchi, na kwa uhitaji wa vitu vyote; naye atakuvika kongwa la chuma shingoni mwako, hata atakapokwisha kukuangamiza.Mstari huu unamaanisha nini?Vyema...!Mstari huo ni muendelezo wa laana dhidi ya Wayahudi kwa sababu ya kuvunja agano la Mungu wao,na kuanza kuabudu miungu mingine.Hii ina maana kwamba pamoja na kupelekwa utumwani kwa Merikebu(kumbu.28:68) kama tulivyoona kwenye makala zilizopita,Biblia pia inasema kwamba adui yako (Mzungu na Mwarabu) atakuvika KONGWA LA CHUMA SHINGONI MWAKO.Tunakwenda sambamba?Kati ya wazungu na weusi ni nani haswa laana ya kupekekwa utumwani na Merikebu na pia kufungwa kongwa la chuma shingoni inayemhusu haswa?Ni mtu mweusi ama sivyo?jamani tunakwenda sambamba?Wandugu si kwamba eti najivunia utumwa huo wa wayahudi la hasha,hapa najaribu tu kuthibitisha Kibiblia kwamba wayahudi halisi ni watu weusi. Sasa wapo watakaohoji mbona jambo hili hatukuwahi kufundishwa shule ya Biblia (Bible school)ama shule ya Jumapili(Sunday school).Looh mbona kule Havard University nilipofuzu shahada ya Uzamivu (Phd) nako sikufundishwa?Mwandishi ameyatoa wapi haya? Wandugu,wino huu unaomwagika kwa masononeko kwenye ukurasa huu tabibu wa nyuma ya pazia kila jumapili ni matokeo chanya ya safari ndefu ya utafiti wa kuitafuta ile Kweli,kwa hiyo kua na amani kabisa kwani ninachokupatia hapa ni asali na maziwa halisi kutoka kwenye ile nchi ya ahadi na wala si bidhaa feki zitakazodhuru fikra zako.Pokea tu kwa shingo nyoofu kwani ninacholenga hapa ni kumtoa Mtu mweusi kwenye jela ya utumwa wa fikra, japo wapo ndugu zangu ambao hupenda kubeza na kukebehi kwa lengo la kunivunja moyo bila ya kua na hoja thabiti, nikwambie tu ndugu pinga uwezavyo, beza uwezavyo lakini ninakuhakikishia kamwe hutaweza kupata somo hili kwenye shahada yako unayosomea au uliyosomea iwe ni ya Falsafa ya Udaktari ama Thiolojia ama elimu yeyote ile, kwani mambo haya yamefichwa kwa makusudi maalumu ya kumtawala Mtu mweusi.
Mpendwa msomaji wazungu hawataki kamwe ufahamu ukweli huu kwasababu wameiba haki ya uzaliwa wa kwanza ya imani ya Uyahudi kutoka kwa mtu mweusi na kujivika wao kofia ya Uyahudi wakati wao ni Wazayuni.Kikubwa wanachohofia ni kwamba endapo tu wakikubali ukweli huo ni dhahiri watu wataanza kuhoji uhalali wa dini hizi kongwe walizotuletea na hapo ndipo jicho lao litakapokua matatani kwa sababu mboni itakua imetikiswa.Sasa kama ukiamua kua kwenye kilele cha utulivu wa fikra ni lazima tu utahoji upo wapi wema ama uzuri wa dini zilizopitia mikononi mwa watesi wetu yaani Wazungu na Waarabu.Upo wapi wema wa dini hizi zilizoenezwa kwa upanga mijeledi na bunduki?
Sasa kama tu zilivyo nguvu kuu mbili kinzani yaani Mungu na Shetani ama Nuru na Giza ndivyo ilivyo pia hata kwenye Israel na Uyahudi.Ninanachojaribu kumaanisha hapa ni kwamba kuna Israel ya Mungu na ya Shetani, halikadhalika kuna Wayahudi wa Mungu na Wayahudi wa Shetani. Kazi ya shetani siku zote ni kuharibu mbegu ya Mungu,Mfano tumbo lililomzaa Yakobo,ndilo lililomzaa muovu Esau,Ulipoota mzabibu wa ukweli na mzabibu wa uwongo ukamea, kwenye ngano safi yalikuwepo magugu,Habili alizaliwa na muovu Kaini.jamani tupo pamoja?
Sasa Israel ya kileo ya kina Benjamini Netanyahu imezaliwa ndani ya ardhi ya Palestina mwaka 1948 kwa kutumia mamlaka ya Uingereza(Balfour Declaration ) na Umoja wa Mataifa UN.(tutaona kwa kina huko mbele)
Mwisho wa Israel kama Taifa la Mungu ambao ni watu weusi ulikoma pale majeshi ya Warumi chini ya Generali Vespasian na mwanaye Titus,yalipoivamia Yerusalemu mwaka 70 A.D ambapo wayahudi wa kabila la Yuda(Ufalme wa Kusini) walikimbilia Afrika Magharibi(Negroland) kwa ajili ya kukwepa machafuko na kisha baadae kupelekwa utumwani kwa Merikebu ikiwa ni muendelezo wa laana ya kuvunja maagano ya Mungu wao.
jambo hili limethibitishwa kwenye Luka 21:20-24 pale Yahusha (Yesu) alipowaambia wayahudi wakimbilie milimani (Afrika ) kukwepa majeshi ya Warumi kumbuka hiyo ilikua ni mwaka 70 A.D ambapo mstari wa 24 unasema"Wataanguka kwa ukali wa upanga, nao watatekwa nyara na kuchukuliwa katika mataifa yote; na Yerusalemu utakanyagwa na Mataifa, hata majira ya Mataifa yatakapotimia.Umeelewa hapo? kwamba wakati wayahudi halisi wakiwa utumwani Yerusalemu itakanyagwa na mataifa hata majira ya mataifa yatakapotimia.kwahiyo wale waliopo israeli leo hii ni watu wa mataifa waliojivika kofia ya uyahudi lakini sio.Sikia Mungu anachosema juu ya israel ya shetani.
Ufunuo 2:9 "Naijua dhiki yako na umaskini wako, (lakini u tajiri) najua na matukano ya hao wasemao ya kuwa ni Wayahudi, nao sio, bali ni sinagogi la Shetani.jamani tunakwenda pamoja? Kwamba Israel ya kileo ni sinagogi la shetani.Wapendwa wayahudi halisi wa Mungu bado wapo utumwani na watarejea mara baada ya majira ya Mataifa yatakapotimia.sasa ni lini na ni namna gani majira ya mataifa yatatimia tutaona huko mbele kwa kina.Labda niwatoe tu hofu wapendwa wasomaji wa safu hii ni kwamba, jambo hili nimelifanyia utafiti kwa miaka takribani kumi kwa kutumia rejea mbalimbali za Wanazuoni manguli wa Kibiblia, Kiakiolojia, Kianthropolojia, Kibailojia na pia Kihistoria bila kusahau tafiti za wabobezi wa mambo ya kale wa Misri (Egyptologists)Kwahiyo huu ni utafiti uliokamilika katika "angle" zote tena ulioshiba hoja za uzania wa hali ya juu yaani "heavy weight".Aidha nimeamua nikuletee mtiririko huu ili upate kitu tofauti kidogo tofauti na kusoma vitu vile vile visivyokua na msingi wowote ule katika maisha yako.Asikwambie mtu ndugu yangu hakuna jambo zuri kama kuitambua historia yako kwani bila ufahamu wa historia yako ya nyuma, chanzo chake, na utamaduni wake unakua kama mti usiokua na mizizi ( Marcus Garvey — 'A people without the knowledge of their past history, origin and culture is like a tree without roots.'Marcus Garvey alikua ni mwanaharakati wa kusiasa na kada kindakindaki wa harakati za ukombozi wa mtu mwrusi.
Tuendelee kidogo....Sasa chanzo kikuu cha mgogoro wa Israel na Palestina ni uvamizi wa wayahudi feki(sinagogi la shetani) katika ardhi ya Wapalestina.Hivi umekwishawahi kujiuliza, Israeli ya Mungu inaweza kua na hatia ya damu ya Wazee,Wanawake,Vijana,Wamama na watoto wasio na hatia huko palestina, Syria,na Mashariki ya kati yote?.Ifikie mahala tutumie utashi.Na huwezi kupata utashi timilifu kama usipoweka dini pembeni kwa muda kwani zimetufunga mengi hata yale yanayohitaji utashi mdogo tu wa kufikiri.Sasa sisemi kwamba dini ni mbaya hapana nasema si vibaya kuhoji zilipotoka na zililetwa na nani na kwa misingi gani na zina rangi gani.Kuna haja gani sisi watu weusi kuchukiana kwa misingi ya dini tena zilizoletwa na wageni ilihali sisi tu watoto wa Baba mmoja?Je umeanza kumuona mbwa mwitu(Israeli feki) akimtafuna mwanakondoo(israeli halisi)? Naam hao ndio Wazayuni wanaoitawala dunia kupitia Marekani wanaojaribu kutengeneza serikali moja ya dunia kupitia mpango wa New World Order. Kwa hayo machache tuliruhusu jahazi letu litie nanga kwa siku ya leo kwa kuiangalia Matendo 13:1 inayomzungumzia simoni wa Antokia aliyefahamika kwa jina la Nigeri yaani NEGRO.Neno "Nigeri" lilitumika kuwatambua wayahudi likimaanisha mweusi.Mbali na Negro jina lingine lililokua likitumika kuwatambulisha wayahudi ni Hebrews yaani Wahebrania ama HEEBOES.Ndio maana walipofika Afrika Magharibi ardhi yao ilifahamika kama NEGROLAND kwa wayahudi wa Ufalme wa Yuda na East African Negroland kwa wayahudi wa Ufalme wa Kaskazini waliofika kwenye Pwani ya Swahili na Zanj.Majina yote hayo kwa pamoja yalitumika katika masoko ya utumwa ambapo wayahudi hao walipokua wakiuzwa huko Marekani.Jina hilo "Negro" ama "Niger" halikufia kwenye masoko ya utumwa tu ,kwani mpaka leo hii wayahudi walioasi akina Jay Z na Beyonce walioamua kumtumikia lucifer kupitia muziki bado wanaitwa Niger/Negro,na salamu yao maarufu ni what's up Niger.?umeona namna jina la Nigeri lilivyosafiri toka Antokia, Afrika Magharibi mpaka Marekani?Wapendwa hiki ni kipande kidogo tu cha barafu kutoka kwenye mlima wa theluji.Ukitaka kujua habari hii kwa undani kabisa tafadhali jipatie nakala ya kitabu cha Uyahudi na historia ya Mtu mweusi. itaendelea tena kesho....

Habari picha
Myahudi akiwa amefungwa kongwa la chuma shingoni na maadui zake(kumbu 28:48

Mwandishi wa Kitabu ni Mtaalamu wa kilimo, Mtafiti wa historia, Mwanaharakati wa haki za mtu mweusi, na mchambuzi wa siasa za kitaifa na kimataifa.
Simu 0769732635(Piga simu upate utaratibu wa kitabu)
Email justinekissay@gmail.com.

N.B. Kitabu hiki ni sehemu ya kwanza ya safari ya ukombozi wa fikra za mtu mweusi ambapo kitakupa mwangaza wa yale yote uliyofichwa tangu kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu huu.
 
Warusi wanatufahamu kuwa sisi ni wayahudi,kizazi cha Mungu,wazaliwa wa kwanza.
Wanajua historia hivyo toka mktano wa berlin walikataa kuitawala Africa
 
Back
Top Bottom