Lakini hata kama hotuba ikiandaliwa kama yeye mwenyewe atataka vijembe, vitisho na majigambo yawepo katika hotuba hiyo vitakuwepo tu. Tena anaweza kutumia wale waandaaji wa hotuba wanaomjulia aina ya vijembe au vitisho anavyovipenda ndivyo vikajazwa katika hotuba hizo ili tu kumfurahisha mkulu.Mara nyingi hotuba huwa pia zinaandaliwa. . . .
Sasa atakubalije kuandaliwa, au aiandae alafu Ieditiwe(edited) wakati yeye hataki ushauri , wa mtu yeyote
Fikiria jamaa wa aina ya yule mwanausalama aliyemtishia Nape kwa bastola ndio wanasimamia vyumba vya kuhesabu kura!!! CCM haiwezi kutoka madarakani kwa njia ambayo wao wameibatiza 'vikaratasi' unless tunapata katiba mpya ya wananchi au wakubali tuwe na tume huru ya uchaguzi.Usiwe na shaka wale waliochakachua kura ndiyo wanang'oka na wanajua walifanya nn jamaa ashinde. Kazi itakuwa nyepesi 2020
ametenda mazuri gani mwaka mzima? pengine mimi ni kipofu - unaweza kutusaidia kuorodhesha mawili!Naunga mkono hoja kwa 100% yaani magufuli hayaoni mabaya ya Daud Albert bashite kabsa kajitia upofu kaziba masikio na Pamba ni Aibu kwa watanzania na Nchi jirani na kote Duniani, mazuri yote aliyotenda kwa mwaka mzima yanaenda kusahaulika wananchi wanaanza kumchukia kwa kasi kubwa.
Wala haina shida lakn afuate katibaKwa hili inabidi tuwalaumu CDM kwa kumwita jk dhaifu,maana huyu anajihami hapo baadae asiitwe dhaifu
HAJIAMINI na urais aliupata kwa zali tu. Watz ni taifa la 3 toka mwisho lenye watu wengi wasio na furaha. Ukitaka kuondoa hali hii, ukisikia tu sauti ya kisukuma kwenye radio/luninga zima haraka na popote utakapokuta kaandikwa huyu ndugu usisome ikibidi jitoe kwenye makundi yote yanayomzungumzia huku ukisibiri 2020.
Amevunja sheria ipi au katiba ipi?
Mkuu nakubaliana nawe 100%. Yaani hapa tulipo ni pabaya. Ni Mungu tu atusaidie. CCM haitacha madaraka kwanza kwa hali zetu hizi za uoga na uungwana, itatawala milele.Fikiria jamaa wa aina ya yule mwanausalama aliyemtishia Nape kwa bastola ndio wanasimamia vyumba vya kuhesabu kura!!! CCM haiwezi kutoka madarakani kwa njia ambayo wao wameibatiza 'vikaratasi' unless tunapata katiba mpya ya wananchi au wakubali tuwe na tume huru ya uchaguzi.
Magufuli ni silika yake kwanza,Lakini pia tumechangia kwa kumpinga kila analifanya ambalo ni zuri.
Na kama hatapata support yoyote toka kwa watanzania ataendelea kuwa mkali na atafanya lolote lile ili mradi tu mtambue kuwa yupo na ni Rais wa Tanzania.
Pumba+povu=pumbavu!...ndio ulichoongeaFicha ujinga wako, na wa unaemtetea . .
Ukishapewa Nchi uiongoze hupaswi kutafuta visingizio vya ku justify mapungufu yako . . Kama hakujiandaa kua Raisi . . , awaachie wengine . .
Alimbembeleza na Nape pia?JK aliwabembeleza na kuwadekeza saana.mlimuona dhaifu.Magufuli ndo dawa yenu
Ulevi wa madaraka ni mbaya kuliko ulevi wa viroba uliopigwa marufukuHAJIAMINI na urais aliupata kwa zali tu. Watz ni taifa la 3 toka mwisho lenye watu wengi wasio na furaha. Ukitaka kuondoa hali hii, ukisikia tu sauti ya kisukuma kwenye radio/luninga zima haraka na popote utakapokuta kaandikwa huyu ndugu usisome ikibidi jitoe kwenye makundi yote yanayomzungumzia huku ukisibiri 2020.
Wapuuzi bado mko wengiKwa hili inabidi tuwalaumu CDM kwa kumwita jk dhaifu,maana huyu anajihami hapo baadae asiitwe dhaifu
Lubuva yule mzee alimbebaHuyu babu hakushinda uchaguzi 2015....