Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Nikizungumzia wahangaza na washubi hawa ndugu zetu wanaotokea mkoani Kagera wilaya ya ngara na bihalamulo .
Ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu ukitaka kuwafahamu zaidi uje huku ngara au nenda bihalamulo kiukweli ni watu wa Karimu sana ila shida wakishatoka ngara kwenda mingine kutafuta maisha
Huwa sio watu wa kujichanganya watu kabisa na watu wa kawaida wala huwezi kukuta wakilizungumzia kabila Lao wala kujitapata kuhusu kabila Lao ni watu wanaishi maisha flani ya kujitenga tenga na watu
Je, tatizo ni nini lakini?
Ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu ukitaka kuwafahamu zaidi uje huku ngara au nenda bihalamulo kiukweli ni watu wa Karimu sana ila shida wakishatoka ngara kwenda mingine kutafuta maisha
Huwa sio watu wa kujichanganya watu kabisa na watu wa kawaida wala huwezi kukuta wakilizungumzia kabila Lao wala kujitapata kuhusu kabila Lao ni watu wanaishi maisha flani ya kujitenga tenga na watu
Je, tatizo ni nini lakini?