Ni kwanini Lake Victoria,Nyasa na Tanzganyika hazina Fast Ferries

snochet

JF-Expert Member
Mar 31, 2011
1,407
1,110
Habari Wanajamvi,
Kuna swali najiuliza kwa muda sana.
Ni kwanini watanzania awajawaza ku-invest kwenye fast ferries(kama zile za Azam) kwenye maziwa yetu?
Iko wazi meli zipo lakini huduma ni za kusuasua sana.
Kwa bahati nzuri tuna ship builder mmoja--Songoro marine na ana yard karibu na hizi maeneo--ni nini kinazuia private companies kufanya operations zinazoeleweka kwenye maziwa haya?
Nimeona waganda wana kampuni ya Earthwise na tayari wameshajiongeza na Welcome To Earthwise Ferries Uganda | Tanzania kuja mwanza---kwanini tumelala?Tunafeli wapi?
Kwanini tuhangaike kujenga mimeli mikubwa wakati hata vidogo vinatushinda?
NA ni kwanini meli nyingi kwenye haya maziwa zinatembeaga usiku tu?-ni swala la kusalama au?
 
Habari Wanajamvi,
Kna swali najiuliza kwa muda sana.
Ni kwanini watanzania awajawaza ku-invest kwenye fast ferries(kama zile za Azam) kwenye maziwa yetu?
Iko wazi meli zipo lakini huduma ni za kusuasua sana.
Kwa bahati nzuri tuna ship builder mmoja--Songoro marine na ana yard karibu na hizi maeneo--ni nini kinazuia private companies kufanya operations zinazoeleweka kwenye maziwa haya?
Nimeona waganda wameshajiongeza na Welcome To Earthwise Ferries Uganda | Tanzania kuja mwanza---kwanini tumelala?Tunafeli wapi?
POINT NI ZILE ZILE....

1. POOR CAPITAL
2.LOW LEVEL OF TECHNOLOGY
3.POOR GOVERNMENT SUPPORT
4.LAND ALIENATION
5.FORCED LABOUR
6. POLITICAL INSTABILITY
 
Kwanini usichukue Taxi toka Dar kwenda Mwanza? Badala yake unatumia Bus la Isamilo?
Nitapanda bus kwa sababu nitaokoa pesa .Taxi itanigharimu zaidi.
Pia kwa safari ndefu sitegemei kuchukua taxi---kwani gari ndogo haziko designed kufanya masafa marefu.
Pia convenience kwa dereva--hatakuwa na uhakika wa kurudi na abiria--lakini kwa case ya boti ni tofauti.
 
Tatizo ni hizo fast ferry zinataka investment kubwa Sana na operation cost ni kubwa pia na return yake ni kawaida kutokana na nauli utakazo toza abiria.

Kwa nchi za wenzetu investment kama hizo lazima serikali itoe punguzo la baadhi ya Kodi kwa waagizaji sababu unaenda kutoa huduma kwa jamii, na dunia ya sasa Kuna mabenki makubwa yanatoa mikopo kwa investment za meli ingawa zamani ilikuwa ngumu saizi Ulaya meli inatumika kama Mortgage licha ya high risk katika biashara zake.
 
Tatizo ni hizo fast ferry zinataka investment kubwa Sana na operation cost ni kubwa pia na return yake ni kawaida kutokana na nauli utakazo toza abiria.

Kwa nchi za wenzetu investment kama hizo lazima serikali itoe punguzo la baadhi ya Kodi kwa waagizaji sababu unaenda kutoa huduma kwa jamii, na dunia ya sasa Kuna mabenki makubwa yanatoa mikopo kwa investment za meli ingawa zamani ilikuwa ngumu saizi Ulaya meli inatumika kama Mortgage licha ya high risk katika biashara zake.
Nakubaliana--lakini, serikali yetu kwanini iweke investments kubwa kwenye meli kuuubwa wakati cost ya meli moja wangeweza kutengeneza hizi speed ferries(Catamaran type) nyingi.
 
Nakubaliana--lakini, serikali yetu kwanini iweke investments kubwa kwenye meli kuuubwa wakati cost ya meli moja wangeweza kutengeneza hizi speed ferries(Catamaran type) nyingi.
Kumbuka kwamba fast ferries hazibebi mzigo mkubwa wakati meli zinatumika zaidi kubeba mizigo kwenda visiwani ambako usafiri wa gari ni gharama na hakufikiki kirahisi.

Nadhani wakiweza kuunganisha hayo maeneo kwa lami kutoka mwanza itakuwa mzigo unafika kwa gari au unakuja mwanza ambapo ndio center kubwa ya kukusanya mizigo kupeleka maeneo mengine hivyo watakaobaki ni abiria ambao watahitaji kufika haraka na kugeuza hapo ndipo fast ferries zitakuja zenyewe tu.
 
Habari Wanajamvi,
Kuna swali najiuliza kwa muda sana.
Ni kwanini watanzania awajawaza ku-invest kwenye fast ferries(kama zile za Azam) kwenye maziwa yetu?
Iko wazi meli zipo lakini huduma ni za kusuasua sana.
Kwa bahati nzuri tuna ship builder mmoja--Songoro marine na ana yard karibu na hizi maeneo--ni nini kinazuia private companies kufanya operations zinazoeleweka kwenye maziwa haya?
Nimeona waganda wana kampuni ya Earthwise na tayari wameshajiongeza na Welcome To Earthwise Ferries Uganda | Tanzania kuja mwanza---kwanini tumelala?Tunafeli wapi?
Kwanini tuhangaike kujenga mimeli mikubwa wakati hata vidogo vinatushinda?
NA ni kwanini meli nyingi kwenye haya maziwa zinatembeaga usiku tu?-ni swala la kusalama au?
Lake Victoria fast ferry zililetwa muda miaka ya 2007 moja ya boti ndio hiyo ya hao wahindi Earthwise ipo Port Bell Uganda nyingine MV Kipepeo ipo kisumu port.

Hizo boti mbili ziliagizwa kwa ajili ya kufanya kazi Mwanza, zilianza kupata zengwe baada ya kushuka Dar Port mmiliki wake walikuwa na tofauti na kiongozi mkubwa zikakataliwa kusafirishwa kwa njia ya barabara. Ikabidi ziende Mombasa Kisha zipite Kisumu kuingia Mwanza.

Kipindi kile Cha Sumatra hizo boti zilipigwa zengwe hata Certificate yake ya Seaworthiness ilikuwa kasheshe kupatikana na hata kazi hazikufanya baada ya kuonekana si salama kwenye stability. Ndio zikauzwa hiyo EarthWise ipo Uganda huwa inafanya trip za kukodiwa na kubeba abiria kwa kipindi Cha nyuma katika maeneo tofauti.
 
Nakubaliana--lakini, serikali yetu kwanini iweke investments kubwa kwenye meli kuuubwa wakati cost ya meli moja wangeweza kutengeneza hizi speed ferries(Catamaran type) nyingi.
Catamaran si lazima serikali iwekeze wawaruhusu watu binafsi wanunue. Hapo Inatakiwa itolewe elimu tu ya uwekezaji, watu pesa wanazo na kwa Sheria zetu mzawa akiwa anataka afanye partnership na mgeni ili meli yao isajiliwe lazima mzawa awe na share ya 50% kwenye umiliki.

Hapo kwenye 50% inaweza ikashushwa kwa maslahi au wanaotaka kuwekeza wapewe tax exemption kwa baadhi ya vipengele wakati wa kuagiza au kununua vifaa kipindi cha ujenzi.

Serikali sishauri inunue catamaran au trimarans sababu zinahitaji close supervision tutatafutana uchawi break down zikianza na chombo bado jipya pia operation cost zipo juu maana boti zinatumia jet propulsion na return yake sio ya haraka Sababu serikali inatoa huduma kwa watu.
 
Tuna viongozi washenzi sana hii nchi
Lake Victoria fast ferry zililetwa muda miaka ya 2007 moja ya boti ndio hiyo ya hao wahindi Earthwise ipo Port Bell Uganda nyingine MV Kipepeo ipo kisumu port.

Hizo boti mbili ziliagizwa kwa ajili ya kufanya kazi Mwanza, zilianza kupata zengwe baada ya kushuka Dar Port mmiliki wake walikuwa na tofauti na kiongozi mkubwa zikakataliwa kusafirishwa kwa njia ya barabara. Ikabidi ziende Mombasa Kisha zipite Kisumu kuingia Mwanza.

Kipindi kile Cha Sumatra hizo boti zilipigwa zengwe hata Certificate yake ya Seaworthiness ilikuwa kasheshe kupatikana na hata kazi hazikufanya baada ya kuonekana si salama kwenye stability. Ndio zikauzwa hiyo EarthWise ipo Uganda huwa inafanya trip za kukodiwa na kubeba abiria kwa kipindi Cha nyuma katika maeneo tofauti.
 
Ziwa victoria ipo moja mkuu, inafanya safari zake kati ya Mwanza na kisiwa cha Ukerewe

Pia iliwahi kuwa inafanya shughuli zake kati ya Mwanza na Bukoba lakini ilisimamishwa maana ilionekana inakimbia sana so inahatarisha usalama wa abiria
Sababu ilikuwa sio kukimbia, labda utaambiwa ship stability boti ikiwa na abiria na mzigo katika mwendo saa Fulani.
 
Lake Victoria fast ferry zililetwa muda miaka ya 2007 moja ya boti ndio hiyo ya hao wahindi Earthwise ipo Port Bell Uganda nyingine MV Kipepeo ipo kisumu port.

Hizo boti mbili ziliagizwa kwa ajili ya kufanya kazi Mwanza, zilianza kupata zengwe baada ya kushuka Dar Port mmiliki wake walikuwa na tofauti na kiongozi mkubwa zikakataliwa kusafirishwa kwa njia ya barabara. Ikabidi ziende Mombasa Kisha zipite Kisumu kuingia Mwanza.

Kipindi kile Cha Sumatra hizo boti zilipigwa zengwe hata Certificate yake ya Seaworthiness ilikuwa kasheshe kupatikana na hata kazi hazikufanya baada ya kuonekana si salama kwenye stability. Ndio zikauzwa hiyo EarthWise ipo Uganda huwa inafanya trip za kukodiwa na kubeba abiria kwa kipindi Cha nyuma katika maeneo tofauti.
Malizia kabisa kwa kusema huyo kiongozi mkubwa amefariki mwaka huu. 😄😄
 
Lake Victoria fast ferry zililetwa muda miaka ya 2007 moja ya boti ndio hiyo ya hao wahindi Earthwise ipo Port Bell Uganda nyingine MV Kipepeo ipo kisumu port.

Hizo boti mbili ziliagizwa kwa ajili ya kufanya kazi Mwanza, zilianza kupata zengwe baada ya kushuka Dar Port mmiliki wake walikuwa na tofauti na kiongozi mkubwa zikakataliwa kusafirishwa kwa njia ya barabara. Ikabidi ziende Mombasa Kisha zipite Kisumu kuingia Mwanza.

Kipindi kile Cha Sumatra hizo boti zilipigwa zengwe hata Certificate yake ya Seaworthiness ilikuwa kasheshe kupatikana na hata kazi hazikufanya baada ya kuonekana si salama kwenye stability. Ndio zikauzwa hiyo EarthWise ipo Uganda huwa inafanya trip za kukodiwa na kubeba abiria kwa kipindi Cha nyuma katika maeneo tofauti.
Magufuli ndio alileta zengwe hizi boat zikazuiwa maana alikuwa na ubia na akina Songoro Marine pamoja na Salma Investment pamoja na wadau wengine kama MV Serengeti.

Aliwapiga Vita hao wahindi wakaona isiwe shida wakampeleka Mombasa. Jamaa alikuwa na roho mbaya ever since.
 
Habari Wanajamvi,
Kuna swali najiuliza kwa muda sana.
Ni kwanini watanzania awajawaza ku-invest kwenye fast ferries(kama zile za Azam) kwenye maziwa yetu?
Iko wazi meli zipo lakini huduma ni za kusuasua sana.
Kwa bahati nzuri tuna ship builder mmoja--Songoro marine na ana yard karibu na hizi maeneo--ni nini kinazuia private companies kufanya operations zinazoeleweka kwenye maziwa haya?
Nimeona waganda wana kampuni ya Earthwise na tayari wameshajiongeza na Welcome To Earthwise Ferries Uganda | Tanzania kuja mwanza---kwanini tumelala?Tunafeli wapi?
Kwanini tuhangaike kujenga mimeli mikubwa wakati hata vidogo vinatushinda?
NA ni kwanini meli nyingi kwenye haya maziwa zinatembeaga usiku tu?-ni swala la kusalama au?
Wekeza mkuu,fursa hiyo..
 
Back
Top Bottom