snochet
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 1,407
- 1,110
Habari Wanajamvi,
Kuna swali najiuliza kwa muda sana.
Ni kwanini watanzania awajawaza ku-invest kwenye fast ferries(kama zile za Azam) kwenye maziwa yetu?
Iko wazi meli zipo lakini huduma ni za kusuasua sana.
Kwa bahati nzuri tuna ship builder mmoja--Songoro marine na ana yard karibu na hizi maeneo--ni nini kinazuia private companies kufanya operations zinazoeleweka kwenye maziwa haya?
Nimeona waganda wana kampuni ya Earthwise na tayari wameshajiongeza na Welcome To Earthwise Ferries Uganda | Tanzania kuja mwanza---kwanini tumelala?Tunafeli wapi?
Kwanini tuhangaike kujenga mimeli mikubwa wakati hata vidogo vinatushinda?
NA ni kwanini meli nyingi kwenye haya maziwa zinatembeaga usiku tu?-ni swala la kusalama au?
Kuna swali najiuliza kwa muda sana.
Ni kwanini watanzania awajawaza ku-invest kwenye fast ferries(kama zile za Azam) kwenye maziwa yetu?
Iko wazi meli zipo lakini huduma ni za kusuasua sana.
Kwa bahati nzuri tuna ship builder mmoja--Songoro marine na ana yard karibu na hizi maeneo--ni nini kinazuia private companies kufanya operations zinazoeleweka kwenye maziwa haya?
Nimeona waganda wana kampuni ya Earthwise na tayari wameshajiongeza na Welcome To Earthwise Ferries Uganda | Tanzania kuja mwanza---kwanini tumelala?Tunafeli wapi?
Kwanini tuhangaike kujenga mimeli mikubwa wakati hata vidogo vinatushinda?
NA ni kwanini meli nyingi kwenye haya maziwa zinatembeaga usiku tu?-ni swala la kusalama au?