mkenya wa kova
Member
- Oct 14, 2013
- 95
- 63
Wakuu nawasarimu..naomba ushauli wenu...nataka kuanza biashara ya asari kutoa tanzania kupeleka kenya,nasikia inalipa sana.sasa humu kuna watu wazoefu wa hizi biashara naomba mnishauli.
Shukrani mkuu,sasa hivi vibari gharama yake ikoje?Una mteja upande wa Kenya? Hakikisha una wateja na mmeisha afikiana,
Huku lazima uwe na Vibari kutoka Mali asili vya kuvuna na kuuza nje asali,
Asari ndo zao gani mkuuWakuu nawasarimu..naomba ushauli wenu...nataka kuanza biashara ya asari kutoa tanzania kupeleka kenya,nasikia inalipa sana.sasa humu kuna watu wazoefu wa hizi biashara naomba mnishauli.