Kaselele
Senior Member
- May 19, 2022
- 172
- 475
Kampuni wanachokifanya ni kutafuta mafundi wazuri tu, kwanini usitafute mafundi wazuri wewe mwenyewe badala ya kulipa kampuni kukutafutia fundi.Vipi kama kuna mkataba? Na mkandarasi ni kampuni?
Kampuni wanachokifanya ni kutafuta mafundi wazuri tu, kwanini usitafute mafundi wazuri wewe mwenyewe badala ya kulipa kampuni kukutafutia fundi.Vipi kama kuna mkataba? Na mkandarasi ni kampuni?
Ukute TV enyewe kamejengewa kwa grill.Ila mpaka leo wizi wa majumbani ni kweli Tanzania bado maskini sasa majumbani utaiba nini zaidi ya TV na simu
Ni ubahili tuuWell said,kuna raia anakwambia amejenga nyumba milioni 50 halafu anashindwa hata kumiliki AC ni uzwazwa
AiseeMkuu soma tena andiko langu, kwa kifupi hata ramani sikuwa nayo nilicholewa na Fundi mchundo tu harakaharaka alipofika site. Nilikataa gharama za mchora ramani 350K kumbe ndio naingia kwenye gharama kubwa zaidi.
Yake pia haijaisha na bado hajahamiaHapana sio hiyo, nyumba yangu bado haijaisha.
Halafu akaanza tu ghafla
Wewe ulitoa mpya bila Raman tena
Kampuni wanatumia mafundi hawa hawa, wao wanasimamia standards tu.Kampuni wanachokifanya ni kutafuta mafundi wazuri tu, kwanini usitafute mafundi wazuri wewe mwenyewe badala ya kulipa kampuni kukutafutia fundi.
Kupiga hesabu za ujenzi na fundi kwenda kununua vifaa peke yake kwa nia ya kumuamini.Habari wana JF
Ni kosa gani ulilifanya kipindi unajenga na ungependa wengine wajifunze ili lisitokee kwao?
Hivi maji ya DAWASA yameshafika Mpigi?
Sio Maeneo Yote,yashafika kaka
Nyumba ikiwa ndefu si ndo vizuri au?Dirisha la jikoni kuwekwa baada ya kozi mbili ,matokeo yake wakati wa plumbing imekua ngumu kuweka sehemu ya sink, nimeingia hasara ya kutoa grill likakatwe na kupandisha kozi mbili tena ili kupatikane mahali pa kuweka sink la vyombo,sikutaka libanane kwenye kona
Fundi kutotoboa msingi ili nyumba ipumue,hapa nafikiria kutoboa hata kama nyumba imeshapanda.
Kujenga mashimo mawili ya choo badala ya moja,hii najutia mpaka kesho ,kila mtu site naona anajenga moja
Kupandisha kozi 11 badala ya 10 baada ya msingi,matokeo yake nyumba imekua ndefu sana
Sio Maeneo Yote,
umenistua ujueKujenga kighorofa.
Jameni, hii shughuli si yakitoto. Ningejenga nyumba ya chini ya vyumba viwili, ningesha hamia kitambo!
Mpigi, Msumi na Msakuzi usafiri shida na maji ya shidaNina eneo langu hapo mpigi magoe kwa mama mzungu nataka anza kifanyi makeke…
Shukrani kwa uzi huu mzuri na wenye kufundisha mambo kadhaa muhimu
Tumia square pipe..au nondo kubwaTutumie nini
Wezi wanazikata kwa urahisi Sana..Kuna picha imewekwa hapo juuKwann
Umempa hesabu nzuri sana, ukijumlisha na muda unakuwa umepotea mazima, sasa ivi tofari ya mashine ya umeme ni elf moja mpaka kwako na unachagua kila mpigaji kwa ubora unaotaka, kupiga mwenyewe ni hasaraUlitumia mashine ya umeme yenye mixer na vibrator au ile shindilia ya mkono (bambam)? Ulinunua au ulikodi?
Kuna gharama ya kununua mchanga, cement, vibao, maji ya kumwagilia, gharama ya kuwalipa wafyatua tofali, vibao vya tofali na gharama ya umeme kama utatumia vibrator na mixer
Ili utoe tofali 3000 kwa ratio ya 40 utahitaji cement mifuko 75 (cement 1@16,500)
●Mifuko 75@16,500= 1,237,500
Mchanga wa tofali 3000
●Mchanga mnene trip 2@400,000= 800,000 (FAW ton 20)
●Mchanga mlaini; Bagamoyo/Kibaha trip 1@350,000 (SCANIA mende)
Gharama za wapiga tofali (Mfuko 1@4000)
●Mifuko 75@4000=300,000
Kibao 1@1700
●Vibao 1000@1700=1,700,000
HADI HAPO TAYARI 4,387,500
SIJAHESABIA GHARAMA ZA KUKODI/KUNUNUA MASHINE, MAJI NA UMEME
UKINUNUA TOFALI 3000@1100 NI 3,300,000
NB: GHARAMA INATEGEMEA NA ENEO HUSIKA HIYO HESABU NI KWA MKOA WA DAR
HahahahaaMume wangu kuweka siling board ina angusha chokaa, wakati wa ku-duu nikiangalia juu yaani kifo cha mende viuchafu vinaangukia machoni