walema akijiuzulu huyo mwingine atateuliwa na nani? niyaleyale walema si kwamba hajuwi wajibu wake anayafanya hayo kwa matakwa ya mutu&kindi fulani kuyafuta yote haya ni katiba mpya tuu tukomae juu ya katiba
Ni kweli Werema anatumika kwa maslahi ya aliyemteua badala ya kutumia weledi katika kazi zake kikatiba ila pia ni kilaza, na nina imani pia hata huo ujaji alipewa kwa kujipendekeza sio competence na qualifications zake! Mwanasheria mkuu gani ambaye anageuka kuwa msemaji wa CCM? Nadhani kuna haja ya watu wa aina ya Werema kushikiwa bango na nguvu ya umma tu na si vinginevyo!!!!!
tabia/hulka za kikurya,.. yes yes kila kitu anachoambiwa na aliye juu yake .. hii mijamaa (mikurya) inafaa jeshini tu
Mwanzoni nilifikiri mtu akipewa cheo cha "Urais, Uwaziri, Mwanasheria Mkuu, Jaji, IJP, Mwendesha Mashtaka, na cheo chochote Serikalini au kwenye taasisi za kidini" nilikuwa naamini kuwa mtu huyo anafanya ile kazi kwa mujibu wa haki kwa kutumia elimu yake kwa manufaa ya Taifa.
Kumbe nilikuwa najidanganya tu, vyeo hivyo vinaweza kushikwa na mtu yeyote wakimo, "wezi, majambazi, vyangudoa, mafisadi, walafi wa mali ya umma, wauaji, wenye visasi, wanafiki, waongo, vibaka, madalali, wachawi, na wengine wenye sifa kama hizo" Nimejionea kwa hakika ndani ya Serikali yetu na zingine za kiafrika!
Sina imani nao kabisa watu wanao onyesha waziwazi sifa hizi kama Werema afanyavyo. Hafai kabisa, simtofautishi na Chenge!