commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,952
Leo kumekucha na mpango mahsusi tunaona serikali imeamkia rasmi na mpango mahsusi wa kuutetea muswad uliokataliwa na wananchi wa katiba mpya.
*Tatizo nilionalo ni pale mwanasheria mkuu wa serikali anapojitokeza rasmi kutetea rasimu hiyo ya katiba ambayo ni wazi ilikataliwa tangu siku ya kwanza.
*"constitutional review act" anataka wananchi tuikubali na haina shida ila tatizo ni uelewa wetu wananchi.
*khs vifungu visivyoguswa,anasema kizazi cha DOT COM kisaidiwe ili kielewe historia ya nchi.
*Tatizo nilionalo ni pale mwanasheria mkuu wa serikali anapojitokeza rasmi kutetea rasimu hiyo ya katiba ambayo ni wazi ilikataliwa tangu siku ya kwanza.
*"constitutional review act" anataka wananchi tuikubali na haina shida ila tatizo ni uelewa wetu wananchi.
*khs vifungu visivyoguswa,anasema kizazi cha DOT COM kisaidiwe ili kielewe historia ya nchi.