Ni kitu gani hasa kinachofanya hizi tume ziitwe "Tume Huru"? Uhuru wake ni upi hasa?

Ni kitu gani hasa kinachofanya hizi tume ziitwe "Tume Huru"? Uhuru wake ni upi hasa?

Kalamu

Platinum Member
Joined
Nov 26, 2006
Posts
19,480
Reaction score
26,105
"Tume Huru ya uchaguzi imemaliza kazi yake siku chache tu zilizopita na matokeo yake tumeyaona.

Sasa kumeundwa "Tume Huru" nyingine ya kuchunguza mambo ambayo kila mtu mwenye akili timamu anajuwa sababu zake na matukio yaliyo ambatana na sababu hizo.

Kwa nini pawepo na matarajio tofauti na yale ya "Tume Huru" iliyo bariki chanzo cha haya matukio yatakayo chunguzwa na hii tume mpya iliyoundwa?

Ni kitu gani hasa kinachofanya hizi tume ziitwe "Tume Huru"? Uhuru wake ni upi hasa?

Kwa nini Samia Suluhu Hassan anapenda sana ulaghai na kejeli za aina hii? Huwa haoni kuwa waTanzania wanajuwa maana ya "Tume Huru" ni kitu gani?
 
Ni basi tuu ili ionekane haiingiliwi na mtu yeyote, sasa anayeunda tume anawaambia cha kufanya hapo itakuwaje huru tena
 
"Tume Huru ya uchaguzi imemaliza kazi yake siku chache tu zilizopita na matokeo yake tumeyaona.

Sasa kumeundwa "Tume Huru" nyingine ya kuchunguza mambo ambayo kila mtu mwenye akili timamu anajuwa sababu zake na matukio yaliyo ambatana na sababu hizo.

Kwa nini pawepo na matarajio tofauti na yale ya "Tume Huru" iliyo bariki chanzo cha haya matukio yatakayo chunguzwa na hii tume mpya iliyoundwa?

Ni kitu gani hasa kinachofanya hizi tume ziitwe "Tume Huru"? Uhuru wake ni upi hasa?

Kwa nini Samia Suluhu Hassan anapenda sana ulaghai na kejeli za aina hii? Huwa haoni kuwa waTanzania wanajuwa maana ya "Tume Huru" ni kitu gani?
Nchi inaongozwa na WAHUNI ,ndiyo tatizo la kuwa na KATIBA mbovu na hata Nyerere alishwahi kusema hii katiba akija kutokea kiongozi kichaa na kuitumia vibaya ataumiza waTZ maana katiba imempa nguvu kubwa sana Rais.
 
"Tume Huru ya uchaguzi imemaliza kazi yake siku chache tu zilizopita na matokeo yake tumeyaona.

Sasa kumeundwa "Tume Huru" nyingine ya kuchunguza mambo ambayo kila mtu mwenye akili timamu anajuwa sababu zake na matukio yaliyo ambatana na sababu hizo.

Kwa nini pawepo na matarajio tofauti na yale ya "Tume Huru" iliyo bariki chanzo cha haya matukio yatakayo chunguzwa na hii tume mpya iliyoundwa?

Ni kitu gani hasa kinachofanya hizi tume ziitwe "Tume Huru"? Uhuru wake ni upi hasa?

Kwa nini Samia Suluhu Hassan anapenda sana ulaghai na kejeli za aina hii? Huwa haoni kuwa waTanzania wanajuwa maana ya "Tume Huru" ni kitu gani?
Uhuru wake ni ile hali ya kujifanyia zitakavyo kwa uhuru kwa kukanyaga haki na uhuru wa wengine huku zikiwa huru kuwatetea walioziunda kwa uhuru wa kuvurunga uhuru wa wengine.
 
"Tume Huru ya uchaguzi imemaliza kazi yake siku chache tu zilizopita na matokeo yake tumeyaona.

Sasa kumeundwa "Tume Huru" nyingine ya kuchunguza mambo ambayo kila mtu mwenye akili timamu anajuwa sababu zake na matukio yaliyo ambatana na sababu hizo.

Kwa nini pawepo na matarajio tofauti na yale ya "Tume Huru" iliyo bariki chanzo cha haya matukio yatakayo chunguzwa na hii tume mpya iliyoundwa?

Ni kitu gani hasa kinachofanya hizi tume ziitwe "Tume Huru"? Uhuru wake ni upi hasa?

Kwa nini Samia Suluhu Hassan anapenda sana ulaghai na kejeli za aina hii? Huwa haoni kuwa waTanzania wanajuwa maana ya "Tume Huru" ni kitu gani?
IMG-20251121-WA0000.jpg
 
"Tume Huru ya uchaguzi imemaliza kazi yake siku chache tu zilizopita na matokeo yake tumeyaona.

Sasa kumeundwa "Tume Huru" nyingine ya kuchunguza mambo ambayo kila mtu mwenye akili timamu anajuwa sababu zake na matukio yaliyo ambatana na sababu hizo.

Kwa nini pawepo na matarajio tofauti na yale ya "Tume Huru" iliyo bariki chanzo cha haya matukio yatakayo chunguzwa na hii tume mpya iliyoundwa?

Ni kitu gani hasa kinachofanya hizi tume ziitwe "Tume Huru"? Uhuru wake ni upi hasa?

Kwa nini Samia Suluhu Hassan anapenda sana ulaghai na kejeli za aina hii? Huwa haoni kuwa waTanzania wanajuwa maana ya "Tume Huru" ni kitu gani?
View attachment 3505102
 
"Tume Huru ya uchaguzi imemaliza kazi yake siku chache tu zilizopita na matokeo yake tumeyaona.

Sasa kumeundwa "Tume Huru" nyingine ya kuchunguza mambo ambayo kila mtu mwenye akili timamu anajuwa sababu zake na matukio yaliyo ambatana na sababu hizo.

Kwa nini pawepo na matarajio tofauti na yale ya "Tume Huru" iliyo bariki chanzo cha haya matukio yatakayo chunguzwa na hii tume mpya iliyoundwa?

Ni kitu gani hasa kinachofanya hizi tume ziitwe "Tume Huru"? Uhuru wake ni upi hasa?

Kwa nini Samia Suluhu Hassan anapenda sana ulaghai na kejeli za aina hii? Huwa haoni kuwa waTanzania wanajuwa maana ya "Tume Huru" ni kitu gani?
View attachment 3505102
 
Hii tume haiwezi kuwa huru kama wanaelezwa Cha kufanya...
Mfano Polisi wetu kulazimisha watuhumiwa wa Uhaini kusema tumelipwa..

Tume hata ikifanya uchunguzi na kugundua watu hawakulipwa, je wataweza kumwambia Samia Suluhu kwamba hakuna mtu alilipwa?
 
Ni kitu gani hasa kinachofanya hizi tume ziitwe "Tume Huru"? Uhuru wake ni upi hasa?
Ni jina lake mkuu, tume huru ya uchaguzi badala ya tume ya uchaguzi. Muundo wa jina ndio unafanya ziitwe hivyo. Zaidi ya hilo, hakuna kingine
 
Mjinga siku zote huwa ana jaribu kuhalalisha upuuzi wake, ana sahau kuwa hata viziwi kuna muda wana sikia.

alicho kifanya ni kuachia ushuzi halafu ana lazimisha kuziba watu masikio kwa kigezo wasi sikie harufu.

#hakuna maridhiano na wahuni.
Jambo linalo sikitisha hasa ni kuwahusisha hao watu (wastaafu), baadhi yao wamejijengea heshima katika jamii; kama huyo Mwenyekiti wa hiyo tume katika uchunguzi wa jambo ambalo inajulikana wazi tatizo lilipo anzia.
Sasa atawalazimisha hawa watu wafanye kazi ya kusafisha uchafu ambao hauwezi kusafishika

Hivi watu kwa nini hujiruhusu kutumiwa hata katika mambo ya kipuuzi yanayochafua majina n a sifa za kazi zao maisha yao yote?

Kwani mtu akikataa kutumika kwenye uchafu kama huu, kuna atakacho pungukiwa?
 
Ni jina lake mkuu, tume huru ya uchaguzi badala ya tume ya uchaguzi. Muundo wa jina ndio unafanya ziitwe hivyo. Zaidi ya hilo, hakuna kingine
"Muundo wa jina"?

Ikiitwa "Tume ya uchunguzi isiyo huru", pia tunaweza kusema ni jina halali kutokana na "muundo wa jina"?

Nimejitahidi sana kuelewa ulicho lenga kueleza bila ya mafanikio yoyote.

Samia anapenda sana lugha za namna hii, kwa sababu hana lolote la maana ambalo huwa analenga kulieleza kwa wananchi.
 
"Muundo wa jina"?

Ikiitwa "Tume ya uchunguzi isiyo huru", pia tunaweza kusema ni jina halali kutokana na "muundo wa jina"?

Nimejitahidi sana kuelewa ulicho lenga kueleza bila ya mafanikio yoyote.

Samia anapenda sana lugha za namna hii, kwa sababu hana lolote la maana ambalo huwa analenga kulieleza kwa wananchi.
Neno "HURU" huongezwa ku laghai umma.
 
"Muundo wa jina"?

Ikiitwa "Tume ya uchunguzi isiyo huru", pia tunaweza kusema ni jina halali kutokana na "muundo wa jina"?

Nimejitahidi sana kuelewa ulicho lenga kueleza bila ya mafanikio yoyote.

Samia anapenda sana lugha za namna hii, kwa sababu hana lolote la maana ambalo huwa analenga kulieleza kwa wananchi.
Neno "HURU" huongezwa ku laghai umma.
 
Labda “huru” Kwa maana watendaji ni wastaafu kama yule Kilaza mwambegele. Ni ujinga wa watu wenye akili kukubali uteuzi ili wamsaidie mtu mwingine Kuficha kichwa ndani ya mchanga na huku kiwiliwili kikiwa nje. Hakuna mtu humu nchini ambaye hajui sababu za machafuko. Tatizo ni ccm yenyewe kungangania kukaa madarakani Kwa njia zozote zile.
Na hiyo tume haitatoa jawabu la kuwataka waachie madaraka. Tofauti na hapo, itakuwa ni kuuzunguka mbuyu na Chenga chenga za aina hiyo.
Adui wa Tanzania Kwa sasa ni ccm na wana Chama wake ambao ni walafi wa madaraka.
 
Jambo linalo sikitisha hasa ni kuwahusisha hao watu (wastaafu), baadhi yao wamejijengea heshima katika jamii; kama huyo Mwenyekiti wa hiyo tume katika uchunguzi wa jambo ambalo inajulikana wazi tatizo lilipo anzia.
Sasa atawalazimisha hawa watu wafanye kazi ya kusafisha uchafu ambao hauwezi kusafishika

Hivi watu kwa nini hujiruhusu kutumiwa hata katika mambo ya kipuuzi yanayochafua majina n a sifa za kazi zao maisha yao yote?

Kwani mtu akikataa kutumika kwenye uchafu kama huu, kuna atakacho pungukiwa?
Njaa, kujikomba au uoga wa kudogoshwa ndio kuna waponza, huenda she's offering a heavy amount au wanna lipa favor.
 
"Tume Huru ya uchaguzi imemaliza kazi yake siku chache tu zilizopita na matokeo yake tumeyaona.

Sasa kumeundwa "Tume Huru" nyingine ya kuchunguza mambo ambayo kila mtu mwenye akili timamu anajuwa sababu zake na matukio yaliyo ambatana na sababu hizo.

Kwa nini pawepo na matarajio tofauti na yale ya "Tume Huru" iliyo bariki chanzo cha haya matukio yatakayo chunguzwa na hii tume mpya iliyoundwa?

Ni kitu gani hasa kinachofanya hizi tume ziitwe "Tume Huru"? Uhuru wake ni upi hasa?

Kwa nini Samia Suluhu Hassan anapenda sana ulaghai na kejeli za aina hii? Huwa haoni kuwa waTanzania wanajuwa maana ya "Tume Huru" ni kitu gani?
Na mimi nimeliona hilo. Kulikuwa na Tume ya Uchaguzi. Mara jina likabadilishwa kuwa Tume Huru ya Uchaguzi, bila kuwepo mabadiliko kwenye muundo wa utendaji. Hii itakuwa kuwapumbaza tu wananchi.
 
Back
Top Bottom